Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona karuka rukaa hatimaye kajaa kwenye 18 ulizokuwa unazitaka ichoboy [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkimalizana na zile zenu tano mrudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sekta ya afya tuko sawa, kumbe mna hospitali tano tu halafu kwngine ni mwendo wa magofu[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimalizana na akina muhumbili nitag tuendelee..
Yani nakupa county hospitals, wala za serikali kamwe sitozigusa kamwe..

Malizana na hzo zenu tano halafu uje

Sent using Jamii Forums mobile app
Bakora zinekuingia sasa unaanza kutafuta njia ya kutokea hapa hutoki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ulivo mpumbavu umeenda kugusa umeme wa high voltage kwenye marine sector hapa hutoki mpaka tuhakikaishe umejua maana critical care beds πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkimalizana na zile zenu tano mrudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sekta ya afya tuko sawa, kumbe mna hospitali tano tu halafu kwngine ni mwendo wa magofu[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee usijaribu kabisa hyo sekta ndugu tuko serious nayo sn, tunataka tuwe india ya east and central zone
 
Dah aisee usijaribu kabisa hyo sekta ndugu tuko serious nayo sn, tunataka tuwe india ya east and central zone
Kaingia kwenye marine huko nishampa dozi sasa kaenda kugusa umeme wenye high voltageπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti marine sector labda hajui hakuna nchi africa inasimama na tanzania kwenye marine sector
 
Nimekwambia kwenye marine sector muko nyuma miaka 50[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1409535View attachment 1409536View attachment 1409537
Komora kubali yaishe mzee kwenye hii sekta hamuwezi kamwe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kubali yaishe, ea yote hamana kifaa km hichi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1409531View attachment 1409532

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…