SGR Tz is full loan. Another loan in the basket.
Nice to see this company is growing ..self made Tanzanian company..in next few years tuta export zaidiUganda is even joining hands with us! A $3 mln project! Let Kisumu keep on using mitumbwi!
I have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.


Hata local company Estim JPM kawaamini kwenye ujenzi wa first super highway Kimara-Kibaha wakati jirani wanategemea Uchina! Naamini makampuni binafsi yenye kujithibitisha uwezo yatafaidika sana na miradi ya ujenzi Dodoma!at first Magu kawaamini na wameaminika kweli
Halafu hiyo si awamu ya pili 😂😂😂 hawa wajinga wa kikunya wanafosi tufanane,still a good news! wacha kulialia
mkataba unasema tutarudia deni baada ya miaka 20.. ya kwenu mliambiwa mrudishe baada ya miaka mingap hiv??
I have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.
Mbona mimi naona 40? 😂 😂 😂Macho yangu yanaona 37.
Mbona mimi naona 40? 😂 😂 😂Macho yangu yanaona 37.
I have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.
Kwanii hi habari hauijiui toka mwaka jana ..sasa hivi tumesign tu ndo kilichoenda kufanyika..nakumbuka hapo phase 2 ilikuaa ishaanza iko 20% hiv that money will finalize the phase 2 and even start phase 3 soon and its paid in 20yearsI have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.
Estim wamekuwa wanapata tenda hadi Lusaka..kwa speed hii soon Tenda za Kenya zitakuwa zinakuja TzHata local company Estim JPM kawaamini kwenye ujenzi wa first super highway Kimara-Kibaha wakati jirani wanategemea Uchina! Naamini makampuni binafsi yenye kujithibitisha uwezo yatafaidika sana na miradi ya ujenzi Dodoma!
Teargass
Unaweza kuta hata hajafungua link aisome zaidi ya kukurupuka kuileta humu 😂😂😂Kumbe phase 2 maelezo umeyasoma vzr hahahha tena hio phase two wametoa na Tanzania wametoa pia👏👏👏👏👏👏
I have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.
Yani hawa jamaa wanaumia sana kuona Tanzania ikifanya maajabu kutumia pesa zake👏👏😁😁Unaweza kuta hata hajafungua link aisome zaidi ya kukurupuka kuileta humu 😂😂😂
www.capitalfm.co.ke
Wakenya wenzenu ndo tunaondoka hvyooo
I have been saying it here that SGR Tz is full loan na wajinga wengine wananipinga, haya here is another loan in the basket.