Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu wanakopa ili walipe madeni kwa hiyo kitu ni kile kile 😂😂😂
Unajua hasara ya kukopa ukalipa deni maana yake unaongea interest za mkopo

Wameshtuka kushakucha ona hii🤣🤣🤣👇👇
 
Screenshot_20200131-201516_Lite.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bank of Tanzania only gave the figures, they didn't post percentage. It is up to you and any other person to find the percentage and that's what I have done for you.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta source from official BOT kwamba its 47 debt unless kubaliana na ukweli huna namna🤣🤣🤣
Ulileta mwenyewe hapa sasa tuoneshe kati ya ww na IMF au BOT nani anjua hesabu zaidi
 
Ati their best bank records only 7B only.....lol.....ati they want to compete Kenya......pwahahaha ...
Now you have talked. The first link is the total profit made by 11 best banks in Tanzania and the cumulative profit was ksh18b. Refer to paragraph three of that article in the first link.

In the second link is KCB bank which posted their nine months profit (remember this is not ya full year) that stood at ksh19.2b.


Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua hesabu ndio shida kwako, nakuelewa. The figures (total debts) are there and I think you know your GDP. You can tell somebody to do the maths for coz wewe huezani na hesabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anataka aambiwe 1+1=2. He simply can't add the total debts they have, both domestic and external and find the percentage against their GDP. These bongalalas though! SMH
 
Huyo anataka aambiwe 1+1=2. He simply can't add the total debts they have, both domestic and external and find the percentage against their GDP. These bongalalas though! SMH
So IMF hawajui hesabu🤣🤣🤣🤣 anaejua hesabu ni teargas aiseee dunia hii kweli haina haki
 
Back
Top Bottom