Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
Pole sana naona unamsaidia kueneza uwongo.
Amka ndoto inatsha hyo
Magufuli amewakamata penyewe hadi mlicho bakiwa nacho ni kupotosha watu tu 😂😂😂 hawa ndio wanafanya upinzani uzidi kupoteza ushawishi na umaarufu kwa siasa Hizi za kijinga.
Mm siku zote hua nakwambia hii sio ile tz ya 90s🤣🤣🤣👇👇👇👇
Yaani zuzu linapita tweeter linaokota picha za 'wanaharakati' hata kunawa uso linakuja kuzitupia humu.Yaani pole sana ukimaliza ukampe pole na huyo mjinga mwenzako.
![]()
RAIS DKT. MAGUFULI AWASILI RUANGWA MKOANI LINDI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasili Ruangwa mkoani L...www.mtaakwamtaa.co.tz
Hawa jamaa ni vilaza sana 😂😂😂Yaani zuzu linapita tweeter linaokota picha za 'wanaharakati' hata kunawa uso linakuja kuzitupia humu.
Inauzuri gani iyo nyumba?UAP. Tanzania will never have an architect close to this till the end of the world.View attachment 1337862
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa umbea by aibu TeargassLeo wapotoshaji wamepokea vibano asubuhi asubuhi
Mbn ata uyo mkenya aliyepost hum imeonekana barabara ya tope af pembeni kuna barabara mpya ya lami manaake ilishatengenezwaMm siku zote hua nakwambia hii sio ile tz ya 90s
Labda wangepga pcha barabara ya kutoka nangurukuru kwenda wilayani Liwale ile kweli ni hovyo snLeo wapotoshaji wamepokea vibano asubuhi asubuhi