Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy let me ask you one quiz before I castrate you. Millenium Tower inapatikana wapi between Ilala, Upanga and Kijikonyama?
Millenium ipo kijitonyama tena iko mbali sana na ilala na upanga yani kutoka kijitonyama kwenda ilala ni zaidi ya km 20 na kutoka upanga kwenda kijitonyama ni zaidi ya km 15
 
I can pick a million pictures from the internet and claim that's daresalaam.........stop getting desperate by throwing any random picture over here.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye dar es salaam yetu wenyewe tunaijua,we posti picha yoyote...ila kibera ni kibera..hakuna asiyejua kibera,hiyo ni globally known as the best slum
 
Millenium ipo kijitonyama tena iko mbali sana na ilala na upanga yani kutoka kijitonyama kwenda ilala ni zaidi ya km 20 na kutoka upanga kwenda kijitonyama ni zaidi ya km 15
Sijakuambia uniandikie InshaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. I have only asked where Millenium tower inapatikana.
 
Tuko tunashindana na dar🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hehehe I like venye leo unakubali haraka[emoji23][emoji23][emoji23]. So next time tukisema Kijitonyama ni size ya Uthiru msipige kelele, sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujipa matumaini siwez kukulaumu πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰iko pale pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…