Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Ukweli yan,hata ukisema unataka ndege,nitaenda kuiba ile bombardier ya jiwe nikupe wewe😂😂🤣🤣Uongooo♀️
♀️
♀️
♀️
Ukweli yan,hata ukisema unataka ndege,nitaenda kuiba ile bombardier ya jiwe nikupe wewe😂😂🤣🤣Uongooo♀️
♀️
♀️
♀️
Ukweli yan,hata ukisema unataka ndege,nitaenda kuiba ile bombardier ya jiwe nikupe wewe🤣🤣



nenda kaibe unileteeAcha kubisha vitu viko wazi, ndege 3 tu pekee ndizo ambazo zinamilikiwa na KQ, ndege 17 bado hazimilikiwi na KQ, ila KQ inaendelea kulipa kidogo kidogo hadi watakapomaliza deni ndio zitakua Mali ya KQ, ila KQ ikishindwa kumalizia deni, hizo ndege hazitokua Mali ya KQ.
Kumbuka kwamba KQ ilishindwa kulipa "creditors" wake jambo lililomfanya Uhuru Kenyatta aziombe hizo Banks zigeuze hiyo mikopo iwe ni "shares", jambo ambalo Banks nyingi zilikubali kwa shingo upande. Uwezekano wa KQ kushindwa kumalizia kulipia hizo ndege ni mkubwa sana, kama ilivyoshindwa kurudisha mikopo yake katika hizo Banks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kingereza chetu hicho atuongei kumfurahisha mzunguumeongea kiingereza kweli?


Kunyaland wap majengo yenu ya mahakama mikoani?
Wanajiuliza sn pesa mnatoa wp za kuservice miradi yote kwa mpigo namna hii au chuma ulete nyie mnawaibia kwny benki zao
Sent using Jamii Forums mobile app
| KLM upgrades aircraft on Tanzania routes 14 Jul 2019 |
Ukweli yan,hata ukisema unataka ndege,nitaenda kuiba ile bombardier ya jiwe nikupe wewe![]()


masta naona unataka umalize hapa hapa......wakati festo anashindwa kuimbisha ni domo zege...

mkuu umemaliza...nimepita pale ubungo aisee ile flyover ishaisha kwa kweli maana sehemu kubwa ishajipanga soon tunakuja kutishia hapaKilichoichelewesha Dar es Salaam Kukosa mpizani EA ni miundombinu ya barabara (Flyovers, Madaraja na Lanes za kutosha) hayo mambo ya SGR ya umeme na BRT ni nakshi ya kuhakikisha haina mpinzani. Kwa Flyover ya Ubungo, Lane za morocco to mwenge na kimara to kibaha zinatosha kabisa kwa wakenya kupagawa, zaidi ya hapo itakua ubishi tu