Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hotel blider bongo
mediterraneo%20dar%20es%20salam%20lounge%20sunrise.jpg
 
Umeshindwa kujibu sasa umeanza umbea.
huo siyo umbea niliwah kuwa na manzi wawili kutoka kwenu nikawapa nafasi ya kuingia jikoni ...aisee msosi uliotoka ni chakula kibaya hakina hata utamu
 
Hii kitu chukua Mombasa ,Malindi na Kenya nzima hutaiona
hii thread tangia jana mida ya saa 6 usiku haijawa rakiki kwao.tumewawekea picha zinaonyesha madhari mbalimbali mazuri ya dar ambayo hawakuwahi kuyatarajia.

walidhani dar ni magorofa tu wakasahau kuwa dar ipo jirani na indiani ocaen na ina maeneo mengi mazuri ya kula bata na kujivinjari kuzidi hata nairobi.

kwa hasira wanataka kutupangia tuweke picha za cbd.
 
We hunaga cha maana
kwani uwongo huko ....hamjui kupika niliwahi kuwa na manzi wawili wakikenya kila mmjo kwa nafasi yake alipata bafasi ya kunipikia aisee huo msosi uliotoka hapo ni kituko ....sema sababu alikuwa ni manzi wangu nikamwambia mpenzi chakula kitamu ....wnikahifadhi moyoni
 
hii thread tangia jana mida ya saa 6 usiku haijawa rakiki kwao.tumewawekea picha zinaonyesha madhari mbalimbali mazuri ya dar ambayo hawakuwahi kuyatarajia.

walidhani dar ni magorofa tu wakasahau kuwa dar ipo jirani na indiani ocaen na ina maeneo mengi mazuri ya kula bata na kujivinjari kuzidi hata nairobi.

kwa hasira wanataka kutupangia tuweke picha za cbd.

Wap walisha zoea kuweka Majengo ya Mafisadi tu na wanasiasa
ukiwaambia waweke wanako ishi wakenya Asili wanakimbia
 
hii thread tangia jana mida ya saa 6 usiku haijawa rakiki kwao.tumewawekea picha zinaonyesha madhari mbalimbali mazuri ya dar ambayo hawakuwahi kuyatarajia.

walidhani dar ni magorofa tu wakasahau kuwa dar ipo jirani na indiani ocaen na ina maeneo mengi mazuri ya kula bata na kujivinjari kuzidi hata nairobi.

kwa hasira wanataka kutupangia tuweke picha za cbd.
mi huwaga namwambiaga mzee wa iphone7 dar ni balaa zaidi ya dubai wasitulinganishe na kanairobi kao kabovu
 
Back
Top Bottom