Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona bado unatapatapa badala ya kuleta picha zinazoonesha vizuri unaleta picha za kwenye ramani umeishiwa sera.leta ground photograph zinazoonesha slums nikupatie sahivi ksh 10k
Mbona mnaogopa sana hizi picha za ramani? 😂 😂 😂 😂
 
Upo emotional sana
Alafu unapanik ovyo ovyo sana kama mtaalam wa saikolojia nilishagundua hilo kitambo,
Huwa picha nzuri za Dar zikitumwa huwa nakuona namna unavyo paniki
Maana ulitegemea Dar kuwepo na slums ila bahati Nzuri hazipo na haitokuwepo
Kwa taarifa yako picha za Dar karibia 60 percent hazijawahi kuwa uploaded humu,
Usiwe emotional hivo relax pata glasi moja ya maji oooh sorry nilisahau Nairobi maji ni shida,
Walaumu waliosababisha Nairobi kuwepo na slums nyingi usituletee paniki za kijinga humu.
See!.... You still comparing Dar with the slums of Nairobi. Says a lot about your glorified fishing village. Can you show me aerial views of your so called estates aka dream houses?
 
DSM ni kubwa na hapo hatuna aerial view ya picha za maeneo mengi sana....

1.bunju
2.salasala
3.mbezi
4.goba
5.kigamboni
6.sinza
7.mikocheni
8.chang'ombe

na maeneo mengine kibao tu......tukisema tupige aerial ya izo area tutakimbiana mzee ojwani.....hizo ni baadhi tu ya maeneoView attachment 1217913
Hehehe... You can beat around the bush all you want but you can't run away from reality
You mentioned Sinza and this is it
Screenshot_20190928-123518.png


Compare and contrast
Screenshot_20190801-135204.png


What a difference!
 
Upo emotional sana
Alafu unapanik ovyo ovyo sana kama mtaalam wa saikolojia nilishagundua hilo kitambo,
Huwa picha nzuri za Dar zikitumwa huwa nakuona namna unavyo paniki
Maana ulitegemea Dar kuwepo na slums ila bahati Nzuri hazipo na haitokuwepo
Kwa taarifa yako picha za Dar karibia 60 percent hazijawahi kuwa uploaded humu,
Usiwe emotional hivo relax pata glasi moja ya maji oooh sorry nilisahau Nairobi maji ni shida,
Walaumu waliosababisha Nairobi kuwepo na slums nyingi usituletee paniki za kijinga humu.
Mwanasaikolojia 😂 😂 😂 😂
Anyway, it's good to know we have a psychologist in the house. Now back to business, can you please show us aerial shots of your estates?
 
Sikai estate nakaa kwangu.
Hapo unapoishi haina jina? Mtaa wako haina jina? Am not asking you to show me pictures of your house (am not even interested in that). Show me aerial view of that area you live in. It's that simple
 
Ingia Google Map tafuta kigamboni
Hapo unapoishi haina jina? Mtaa wako haina jina? Am not asking you to show me pictures of your house (am not even interested in that). Show me aerial view of that area you live in. It's that simple
 
jiji lenu bado ni kijiji mzee......jengeni kwanza kisha ndiyo mje kushindana na dar........

haina haja ya kupoteza mda hapa mzee
Mnajenga vibanda kila mahali na kuziita dream houses mnajiona mmefika sana. Hakuna tofauti ya hizo uswazi zenu na Mitaa za mabanda Nairobi. That's why hamuwezi leta picha za juu za mitaa zenu, lakini za pale cbd mnaleta haraka tena sana
 
Mnajenga vibanda kila mahali na kuziita dream houses mnajiona mmefika sana. Hakuna tofauti ya hizo uswazi zenu na Mitaa za mabanda Nairobi. That's why hamuwezi leta picha za juu za mitaa zenu, lakini za pale cbd mnaleta haraka tena sana
Hatuna vibanda vya mabati kama vya kwenu tunanyumba za matofali( block) na sio vibanda kama vya kwenu slums(poor houses)
 
Hayo ni yale maeneo ambayo huwa hutaki kuzoom Google Earth ili ujionee
Huwa ukiingia una punguza kabisa zoom.
Ingia google earth utafute tabata, Vungunguti, Sinza, Kisiwani, Mwananyamala, Mabibo, Kitunda, Segerea, no. Utacheka ufe
 
Mnajenga vibanda kila mahali na kuziita dream houses mnajiona mmefika sana. Hakuna tofauti ya hizo uswazi zenu na Mitaa za mabanda Nairobi. That's why hamuwezi leta picha za juu za mitaa zenu, lakini za pale cbd mnaleta haraka tena sana
tembea ujioneee uliza wenzako wanaoishi huku watakuambia ,,,,,kama hivyo ni vibanda ama ni nini.....,,,,,,

hapo hampagusi
 
Hehehe... You can beat around the bush all you want but you can't run away from reality
You mentioned Sinza and this is it
View attachment 1217926

Compare and contrast
View attachment 1217927

What a difference!
hebu leta picha za chini za hayo magodown yenu looking ze same ....mnaishi mnaishi kama students mpo kwa school.

hivi ndivyo chini kulivyo masakuu
images%20(4).jpeg
images.jpeg
download.jpeg
images (1).jpeg
images (2).jpeg
images (3).jpeg
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    16 KB · Views: 16
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    18 KB · Views: 14

Similar Discussions

Back
Top Bottom