Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo mwehu atakwambia hapo chini hamna barabara wakati kuna motorways zimekatiza hapo,kuna flyovers kila junction,kuna trains zinakatiza juu na chini ya ardhi. Hizo anazoringia yeye ni estates hapo London ni council estates wanakaa watu wa chini kabisa
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe
 
Bora useme wewe, na co london peke ake, majiji makubwa mengi tu ya ulaya hayajapangiliwa kiivo kama makunya wanavojidai, na bado wapo vzur ile mbaya
Hawa jamaa na mji wao ni sawa na mtu anaepasi nguo chafu na vilevile hajaoga
 
Tansanians with their 50$ billion gdp ranting day and night.There are some fringe projects thats don't need ranting....every country is busy with projects. At the end of the year world bank and imf will tell us the truth.
 
Tansanians with their 50$ billion gdp ranting day and night.There are some fringe projects thats don't need ranting....every country is busy with projects. At the end of the year world bank and imf will tell us the truth.
Nonsense
 
Ministry of energy-south c
tapatalk_1567976153515.jpeg
tapatalk_1567976169666.jpeg
tapatalk_1567976176125.jpeg
tapatalk_1567976183669.jpeg
tapatalk_1567976188820.jpeg
 
Hiyo rail station ya Tazara mbovu sana inakaa zile majengo mengi sana ambayo ni mijengo uninspiring style ya Soviet block countries .
 
Back
Top Bottom