Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The giants are standing tall majestically, rulling the East African skies
eWr4xLa.jpg
 
Ulimbukeni ni kufurahia majengo ya ghorofa wakati mnategea chakula cha msaada. Kweli mnajitekenya mwenyewe halafu unacheza
 
Ila Wachina wanawabeba sana... Good for you

Ila honestly Dar Kwa sasa hatuna nyumba za maana zinazosimama kulinganisha na hizo
Times Tower is a 38-storey building and was constructed by the Kenyan government. And by the way, ungejiuliza ni Kwanini waliamua kuijenga Nairobi na sio Dar
 
Times Tower is a 38-storey building and was constructed by the Kenyan government. And by the way, ungejiuliza ni Kwanini waliamua kuijenga Nairobi na sio Dar

Kwa sababu wanajiandaa kuichukua nairo-slums baada ya kushindwa kulipa tuk tuk loans🉐🈲🈸🈵🈴
 
Back
Top Bottom