Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

18251432_700034846849988_6822481195222171648_n.jpg
 
Hatuna uhuru wa habari...just chill bro hapa wataanzaa
Matusi
Utaponda mpaka ukome
Ila CCM hawangooki
Mpaka wapinzani wawe na democrasia

Af uhuru wa habari tunao
Ila hamna uhuru wa kugushi mambo
Not like before ambapo mwanahabari anaponda ki2 bila ushaidi
Kuichukia kwako serikali haisaidii chochote maana ata ghadaff akija kutawala tanzania hatokuletea chakula
 
Hapa tayari mchezo tumeshaumaliza. Hawa vijana wa Nairobi tumesha waua.
 
Utaponda mpaka ukome
Ila CCM hawangooki
Mpaka wapinzani wawe na democrasia

Af uhuru wa habari tunao
Ila hamna uhuru wa kugushi mambo
Not like before ambapo mwanahabari anaponda ki2 bila ushaidi
Kuichukia kwako serikali haisaidii chochote maana ata ghadaff akija kutawala tanzania hatokuletea chakula
Unaandika nn asee....nani kaponda?sipo kwenye chama chochote na hata serikali hainiletei chakula kwangu.
 
Unaandika nn asee....nani kaponda?sipo kwenye chama chochote na hata serikali hainiletei chakula kwangu.
Wewe dogo tumeshakujua.
Nemekuuliza maswali.
Unakaa sehemu gani kimara?
Unadesign jengo gani kariakoo?
Hebu tuwekee design ya hilo jengo.
 
Back
Top Bottom