Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jengo lini lilijengwa lini na wapi ?
184m, 143m, 116m | 43, 35, 33, 31, 31, 29 fl
ama bado utabishana???
iyWJUoR.jpg
 
Na bado hawajagusa hata nusu ya ilo la newyork ,wanaiga kupika chips yai wanaishia kuchemsha viazi na yai

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja juzi alileta uwanja wa mpira wa Barca alitaka kutudanganya upo kwao mwingine akaleta kilele cha sijui mlima gani kule Asia anadai ni kilele cha mlima wao yaani hawako proud na vitu vya Kwao
 
Upperhill yapikwa polepole tu. Kesi hapa na pale lakini eventually nina uhakika Pinnacle na Montave zitakuwa reality very soon.

Westlands achana nayo..hata sisi huwa tunawachwa vinywa wazi na maendeleo yanayofanyika kule.
We bwege hapa ulijitoa ufahamu au chang'aa ilikua kichwani?
Screenshot_20190531-152424.jpeg
 
Dharau au kiherehere chenu nyie mazwazwa cha kupapatikia vitu vya watu nyang'au wahedi
Ilikua ni dharau tu..kiingereza tunaita banter. Yeyote mwenye macho anaweza ona MES QUE UN CLUB na kujua hiyo ni timu ya Barcelona. ..hivi nyinyi ni mazwazwa hata comic relief hamuezi elewa? hehehe
 
Ilikua ni dharau tu..kiingereza tunaita banter. Yeyote mwenye macho anaweza ona MES QUE UN CLUB na kujua hiyo ni timu ya Barcelona. ..hivi nyinyi ni mazwazwa hata comic relief hamuezi elewa? hehehe
Zwazwa ni yule anaesema Kiswahili cha banter ni dharau.
 
Back
Top Bottom