Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha... I thought you supposed to replace Ethiopia with danganyika in that statement. Kumbe mnajua level yenu baaado Sana? someni number kabisa
 
jkemia...naona anahamisha magoli sasa...hahaaaa...anadaisha hao ni si mawaziri....mwambie kw kiswahili atawaitaje...hhhhh...

minister kw kiswahili ni waziri...cabinet secretary pia kw kiswahili waziri...
hahaaaa...hawa hawaijui kenya kumbe na zile mbwembwe zo..bwahaaaaaa...

kwhyo we mdanganyika unapinga km hao ni mawaziri...hahaaa..au unakataa?
 
Hivi nyie huwa mna akili? mbwa mwenzio hajaongelea chochote kuhusu cabinet secetary bali alisema CECMs, na wewe sijui unaleta bangi zako umetoa wapi, kafeni mbele tu
 
Sasa nani kakuambia halmashauri hivyo vyote hazina? Halmashauri zina bendera zake, council assembly, mayor, economic administration boundaries, political administration boundaries, revenues, resources, investments, stamps in short they are called local government with all essentials resembling on central government.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapo kwenye size of geographical area ndio utamuua kabisa sababu kuna vojicounty vyao vina size ya mtaa wa mchambawima alafu wanaviita County yaani unaweza ukavizunguka mara 5 kwa dakika 10
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe huko mpaka zipewe pesa na Central government, huku zina budgets zake zenyewe na revenues zake from their own sources ambazo haiwezekani zikaguswa na central government
 
NEW KING IN THE OLD TOWN, THE OLD TOWN IS REALLY CATCHING UP WITH THE REST OF WESTLANDS AND UPPER HILL


 
Hao ni wachezaji, wanahitaji miili yao iwe fit ili kuperform vizuri siyo kulala kwenye tiles zenye ubaridi. Changamoto kama hiyo ilibidi iwe identified na kutatuliwa kwa ku kodi private jet kama ambavyo SIMBA, Mazembe, Al ahly wanavyo fanya. Kwa style hiyo hamtoweza kufika mbali kwenye mashindano. Wachezaji wenu hawawezi kufurahi kuwepo kwenye dhiki wakati wanajua tukikimbilia Tz tutapata neema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…