ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,291
- 136,285
ππππππ Kapime kinyesiHapana, unaweza lala hata kwa paa juu ya mabati
ππππππ Kapime kinyesiHapana, unaweza lala hata kwa paa juu ya mabati
Hahaha... I thought you supposed to replace Ethiopia with danganyika in that statement. Kumbe mnajua level yenu baaado Sana? someni number kabisaYou have been using your taxes well over the years? Laughing my rich, hot ass off, you are on a brink of collapse! nchi inaendeshwa kwa deni, unemployment ndio usiseme na njaa juu, unajua Ethiopia ndio biggest economy on east and central Africa au unaongea na domo lako hilo kama ndoo? mimi huwa nakwambia, kajifunze kwanza ndio urudi kwangu
We mbwa tu, pisha njia, kale kwanza chakula ndo urudi hapaHahaha... I thought you supposed to replace Ethiopia with danganyika in that statement. Kumbe mnajua level yenu baaado Sana? someni number kabisa
Hivi nyie huwa mna akili? mbwa mwenzio hajaongelea chochote kuhusu cabinet secetary bali alisema CECMs, na wewe sijui unaleta bangi zako umetoa wapi, kafeni mbele tujkemia...naona anahamisha magoli sasa...hahaaaa...anadaisha hao ni si mawaziri....mwambie kw kiswahili atawaitaje...hhhhh...
minister kw kiswahili ni waziri...cabinet secretary pia kw kiswahili waziri...
hahaaaa...hawa hawaijui kenya kumbe na zile mbwembwe zo..bwahaaaaaa...
kwhyo we mdanganyika unapinga km hao ni mawaziri...hahaaa..au unakataa?
na we went pia usihasahau kurudi danganyika bila kujulia hali wenzako Kyle Tom Mboya street name kuwapa angalau chakula cha jioniWe mbwa tu, pisha njia, kale kwanza chakula ndo urudi hapa
Sasa nani kakuambia halmashauri hivyo vyote hazina? Halmashauri zina bendera zake, council assembly, mayor, economic administration boundaries, political administration boundaries, revenues, resources, investments, stamps in short they are called local government with all essentials resembling on central government.woooiiii..unataka kulinganisha county na halmashauri...poor guy...
county zina bunge lake,spika wake,MCAs ambao ndio wabunge wa kaunti,county representative(gavana)...
unaniletea story za halamashauri sijui mwenye kiti,diwanisijui mjumbe....mifumo ya kikokoloni hyo...
bwahaaaa
πππ Hapo kwenye size of geographical area ndio utamuua kabisa sababu kuna vojicounty vyao vina size ya mtaa wa mchambawima alafu wanaviita County yaani unaweza ukavizunguka mara 5 kwa dakika 10wewe ndio zuzu. Huelewi hata jinsi local governments zinavyowork. nyie mna counties sisi tofauti ni jina ila maana ni ile ile. The US for instance, wanatumia neno states kutofautisha regional municipalities lakini jirani hapo Canada wanatumia provinces sasa sijui wewe unaelewa? It all depends with the country and the system they use kwa sababu mfano province ya British Columbia, Canada ni kubwa kuliko hata California, USA lakini California ina population kubwa zaidi na economy kubwa zaidi. In fact, if California were an Independent country, it would have been the 4th largest economy in the world. Sasa ndio ujifunze hapa kuwa it's not about size
ππ Kumbe huko mpaka zipewe pesa na Central government, huku zina budgets zake zenyewe na revenues zake from their own sources ambazo haiwezekani zikaguswa na central governmentnaona bado unazidi kuumia...hahaaa!!km mikoa kenya bado iko...lkn inajulkana km regions...unajisumbua kuleta sijui USA na canada...wacha kuhanya hanya...usilinganishe county na hzo halmashauri zenu...kila kitu mpka kipitishwe bungeni ndio kifanyike...bwahahaaaa..county ikishapewa mgaoa wake inaamua katika bunge lake nn cha kufanya...wafanyikazi wwa county watalipwa vipi...
wacha kujifnya juha...ama hujui kuna watu kw county wanapiga hela ndefu kw ajira zinazotolewa kw county...kila county ina mawaziri wake...wacha nikuelimishe kidogo brother...mradi wowote lazima uwasilishwe katika bunge la kaunti alafu waone km uatapita au laa...
we unakuja na story za wajumbe...wajumbe wana nn zaidi ya kupewa nyumba ya kuishi...bwahaaaa
ππ Kumbe huko mpaka zipewe pesa na Central government, huku zina budgets zake zenyewe na revenues zake from their own sources ambazo haiwezekani zikaguswa na central government
Hao ni wachezaji, wanahitaji miili yao iwe fit ili kuperform vizuri siyo kulala kwenye tiles zenye ubaridi. Changamoto kama hiyo ilibidi iwe identified na kutatuliwa kwa ku kodi private jet kama ambavyo SIMBA, Mazembe, Al ahly wanavyo fanya. Kwa style hiyo hamtoweza kufika mbali kwenye mashindano. Wachezaji wenu hawawezi kufurahi kuwepo kwenye dhiki wakati wanajua tukikimbilia Tz tutapata neema.Have you ever traveled by air before? I really doubt. Kama umewahi safiri na ndege and you had to connect a flight, ungejua haha ni mambo ya kawaida Sana. People sleep in airports from Heathrow to JF Kennedy to Oliver Tambo and many other airports around the globe while waiting for a connecting flight. Lakini kwako wewe Kijana wa Tandale, hayo ni mambo ya ajabu yenye haijawahi tokea. Toka njee ya mazense uone dunia. The world does not start and end at Mbagala