Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,731
- 107,175
hivi interchange itakuwa ya aina gani..?kati ya hiyo na hii[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1055371
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kule chini ndo kutakua na level tena ya kuruhusu magari kupishana Morogoro Rd to Mandela Rd, Mandela Rd to Morogoro Rd(Town), Sam Nujoma Rd to Morogoro Rd na Morogoro Rd(Town) to Sam Nujoma Rd!!?hata mim bado wananichanganyaView attachment 1055844
Hii ndio inayojengwa. ..ina video yake iko poa, Ile ya mwanzo yameipiga chinihata mim bado wananichanganyaView attachment 1055844
Kwahiyo kule chini ndo kutakua na level tena ya kuruhusu magari kupishana Morogoro Rd to Mandela Rd, Mandela Rd to Morogoro Rd(Town), Sam Nujoma Rd to Morogoro Rd na Morogoro Rd(Town) to Sam Nujoma Rd!!?
Kama ni hivoo basi superb interchange still maana ya interchange itakuepo
Maana nilikua na mashaka pale chini... en nikajua kutakua na level mbili tuu, nikahisi wale wa kuingia kubadilishana wata hustle na BRT pale chini kumbe sivyoo....
Basi tumewin hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo inakuwa na level moja ya fly over na si mbili?Sio ya video clip bwana ni hiyo km ya tazara, angalia hapa uniambieView attachment 1055728View attachment 1055729
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mwenye data kamili tujuzane kwa hilihata mim bado wananichanganyaView attachment 1055844
kama unalink video yake ipost mkuu maana naitafuta siioniHii ndio inayojengwa. ..ina video yake iko poa, Ile ya mwanzo yameipiga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Levels bado ni zilezile 3 mbona clips ziko nyingi tu mtandaoni...
Kiufundi hii ya sasa ni cheaper.Yeah, Huyo mkandarasi alishauri hivyo maana ile ya kwanza magari yalitakiwa yapishane kwenye level ya pili swala ambalo lingesababisha ajali. So kuhamishia mapishano kuyaweka chini ni kuepuka ajali.
Mm naona hata tazara wafanye hivyo waongeze nyngne kwa juuYeah, Huyo mkandarasi alishauri hivyo maana ile ya kwanza magari yalitakiwa yapishane kwenye level ya pili swala ambalo lingesababisha ajali. So kuhamishia mapishano kuyaweka chini ni kuepuka ajali.
Picha inajieleza ctaki maswali👇👇View attachment 1056190View attachment 1056191View attachment 1056192
na mwanza na zanzibar bado..zanzibar nayo kiboko..sema ndo ujenzi unasua suaShubamit, Kwa TZ hii nchi za EA Zijipange upya huku wakingojea Msalato International Airport
Msalato utakua sexy kuliko viwanja vyote hapa E.A. design yake ya kijanja sana.Shubamit, Kwa TZ hii nchi za EA Zijipange upya huku wakingojea Msalato International Airport