Merry Christmastanzania tupo vizuri sana wallah,tazama madhari ya pembeni mwa barabara inavyovutia.
picha hazijaongezewa manjonjo yoyote ya kuziboresha. ni original photos.
mind game waliyokuwa wanatufanyia wakenya kwa miaka mingi iliyopita ilitufanye tujione wanyonge sana. ila miaka hii wamekutana na vijana wa kizazi jeuri, kizazi kinachojiamini. lazima wakae.
marry christmas everyone.
Mkuu kama vp ibuka junction na kamera upige picha mlima wa Tosamaganga Nyang'au waone Iringa ilivyo kama UlayaaMerry Christmas, all the way From Iringa Tanzania
View attachment 977145View attachment 977146View attachment 977150View attachment 977151
Mkuu kama vp ibuka junction na kamera upige picha mlima wa Tosamaganga Nyang'au waone Iringa ilivyo kama Ulayaa
For every respect i cannot be silent while these retards continue to lie!....these Tanzania are zombies who only reason for living is to highlight the fake imp of a president,let me warn you for real....we in Kenya dont give a f%$#$%k on where you take Albino flesh but for heaven sake shut the f$%#@k up and own up for CCM witchcraft...Capture this,watu wenye hekima wanasema uongo ukiachwa uendelee bila kupingwa, mwisho wa siku utaaminika kuwa ni ukweli.
yule nyanya kahaba housemaid wa kikenya amepost youtube video link inayozungumzia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini tz na kuandika "this year, eleven month ago" akimainisha kwamba tukio lile limetokea mwaka huu 2018, miezi kumu na moja iliyopita.
ukweli ni kwamba video ile ilikuwa published mwaka 2017 na tukio linalozungumziwa kwenye video hiyo ni la mtoto albino baraka cosmas aliyeshambuliwa mwezi march, 2015.
by that time hata magufuli alikuwa bado hajawa rais wa tanzania.
ndio maana huwa nasema huyu kahaba housemaid ni ill-informed na mjinga. search engine kwenye simu/laptop yake ina run backward.
na kwa taarifa yake tu ni kwamba, tangu rais magufuli aingie madarakani tarehe tano November 2015, tz haijawahi kurekodi tukio lolote la mauaji ya albino. matukio yote anayo refer yalitokea nyakati za utawala wa raisi kikwete(21 December 2005 – 5 November 2015).
hapa ni facts, porojo na emotions baki nazo.
Maamae,,halafu kuna watu wanataka walinganishe ule Msukule wa jirani na hii kitu.!Haya hayaaaa Reli yetu ndio hiyoooo... Tz Sgr na nyasi nzuri kabisa Kama za Birmingham, wozaaaa



Maamae,,halafu kuna watu wanataka walinganishe ule Msukule wa jirani na hii kitu.!
![]()
Haya hayaaaa Reli yetu ndio hiyoooo... Tz Sgr na nyasi nzuri kabisa Kama za Birmingham, wozaaaa