Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha utani,,,,,kwa hiyo wanaija huita cbd[emoji1][emoji1][emoji1]
Ukipitia hizo forums zao utacheka vitu wanaita cbd......eti hii inaitwa Lekki cbd[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpunga aisee...ccm balaa...diamond mwnywe hivi karibuni anaeza hama kw ujinga wa ccm[emoji382] [emoji382] [emoji382] [emoji382]

Diamond unataman awe mkenyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naona amepandwa na hasira na zile flood za year...mvua ilikuwa kubwa sna..lkn dar karibiwa kila mwaka unabisha ichoboy

Dar mafuriko makubwa ni mitatu au minne iliopita ndio yalikua makubwa, nairobi kila mwaka
 
Masaki ni kubwa kuliko mombasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡





MombasaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Hasira zimekupanda posta inapambana ma west upperhil na cbD[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]
Posta maybe ipambane na Kilimani tu. Upperhill, Westy na CBD are on another level.
 
Hasira zimekupanda posta inapambana ma west upperhil na cbD[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]
Kwani posta siku hizi imekuwa extended from the shore hadi penye the pictures were taken?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…