Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama ulikua hujui mlimani city ni mall ya udsm na ni mali ya udsm unabisha ???
Milimani city mall si ya UDSM, the fact that its close to UDSM doesn't ni yao [emoji23][emoji23][emoji23], Ichoboy you are very stupid, tafuta watu wa kudanganya.
 
Yeye anamaanisha hiyo mlimani ukiwa karibu na shule ati sasa ni ya shule... Nakumbuka tukiwa high school tukisema girl school ni yetu kwa sababau it was the nearest girl school😅😅
Nakwambia mlimani city ni mali ya udsm na iko ndani ya ardhi ya udsm leo hamuamini😂😂😂😂😂😂😂
 
Milimani city mall si ya UDSM, the fact that its close to UDSM doesn't ni yao [emoji23][emoji23][emoji23], Ichoboy you are very stupid, tafuta watu wa kudanganya.
Akhakahakhakaba macho hayaamini 😂😂😂😂😂😂😂😂 nikudanganye unafkiri mm mkenya we bisha alaf uone
 
KU ina shuttles... Shuttles humove ndani ya shule tu, KU INA buses pia...acha kuwa zuzu
Mwambie ajue
downloadfile-4.jpeg
 
Back
Top Bottom