Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BE6B4681-E391-424B-BF4F-2DD95C1EFCCA.jpeg
 
Kw sisi hatukufanya huo mitihani..hawa majamaa washamba sana...
yaani nchi yenu kiukweli ina matatizo, mwanafunzi afanye mtihani na risasi anaiangalia. Ok, hata kama ni protocol ya hao mapolisi, so wakimkamata mwanafunzi anacheat watamshoot?
 
Kenya sio nchi ya ujamaa ambapo Serekali ndio kila kitu. Manganya ni za mashirika za kibinafsi. Sasa ulitarajia aje tupake rangi za blue najua huko Tz ******** akiamka aseme mpake gari zote Dar blue zitapakwa mpende msipende
Sasa ilikuwaje mkachonga zingine kwa ajiri ya BRT ingawa nazo zikachapa,si mnazo nganya mngepaka rangi ya blue tu kazi kwisha
 
Kenya sio nchi ya ujamaa ambapo Serekali ndio kila kitu. Manganya ni za mashirika za kibinafsi. Sasa ulitarajia aje tupake rangi za blue najua huko Tz ******** akiamka aseme mpake gari zote Dar blue zitapakwa mpende msipende

Kwani BRT zenu mmpaka rangi ya bendera ya kenya??

Nauliza kama matatu ni class na ni culture kwanini hamkuifanya official BRT buses??ili mis nini??
 
Back
Top Bottom