Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2% unemployment na bado mko ldc na kw umaskini mnaongoza
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
5E9406D5-F97F-42B3-8612-BBBEB59DE366.jpeg
3E9FA2D0-3C47-4469-9707-CEF5B137259E.jpeg
 
Dogo hakikisha unajua unachokiposti,sisi wabongo sio mazuzu kama hao wakenya wenzako,sawa??...said salim bakhresa ni mzaliwa wa zanzibar,kwa hiyo ni mtanzania pure kabisa,kama ilivyo kwa mo dewji,tajiri mwenye umri mdogo Africa,kazaliwa singida,Tanzania,kama ilivyo kwa wazazi wake ni wenyeji wa singida,Tanzania!!..
Note: No dual citizenship in Tanzania!!.. Kama hujui "dual citizenship" ni kitu gani ni bora ukasema tukupe shule kidogo!
Hta lupita nyongo ni mzawa wa Mexico ila babake ni gavana wa kenya....

Obama ni mzawa wa amerika ila anatambua kogelo km kwao na pia anatambua babake nmkenya...hhhhh!!!..

Bakhresa alizaliwa tz ila anatambua hko si kwao...

Mo kazaliwa bongo ila anatambua kwao ni wapi..unabisha
 
Hta lupita nyongo ni mzawa wa Mexico ila babake ni gavana wa kenya....

Obama ni mzawa wa amerika ila anatambua kogelo km kwao na pia anatambua babake nmkenya...hhhhh!!!..

Bakhresa alizaliwa tz ila anatambua hko si kwao...

Mo kazaliwa bongo ila anatambua kwao ni wapi..unabisha
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
23338702-DA02-4E4F-978D-FE4DC5AEFFA3.jpeg
 
....
Mkimbizi n mkimbizi tu...mababu zake hawaachi kumsimulia kilichowakuta kwao hadi kuja katika shamba la bibi kuchuma za wavivu...hhhhhj
Asante kw kujitahidi
mkimbizi wakat mzanzibari ahahahhahah maskini yaMungu pole sana leo kiwembe kimegusa vuziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mkimbizi wakat mzanzibari ahahahhahah maskini yaMungu pole sana leo kiwembe kimegusa vuzi
Hhh!!!mzanzibar tena...hhhh!!!kaja zama za wa man...
...leo nishajuwa sasa...bakhresa mumbe mu oman...ichoboy kakiri mwnywe leo
 
Hta lupita nyongo ni mzawa wa Mexico ila babake ni gavana wa kenya....

Obama ni mzawa wa amerika ila anatambua kogelo km kwao na pia anatambua babake nmkenya...hhhhh!!!..

Bakhresa alizaliwa tz ila anatambua hko si kwao...

Mo kazaliwa bongo ila anatambua kwao ni wapi..unabisha

Acha ujinga kijana.kama mmejaza wachinya wengi kwenu mpaka mnachanganya haya mambo ni nyinyi na ujinga wenu.

Mo kazaliwa bongo-unajua baba na babu yakewamezaliwa wapi????wewe hujiulizi mpaka mtu anazaliwa eneo kama singida ni kwa sababu gani??? Au utasema alitoa rushwa aonekane amezaliwa singida.

Wacha mafeeling bana.
 
Hhh!!!mzanzibar tena...hhhh!!!kaja zama za wa man...
...leo nishajuwa sasa...bakhresa mumbe mu oman...ichoboy kakiri mwnywe leo
ukileta evidence kua bakhresa muoman nafunga acc jamii forumπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Acha ujinga kijana.kama mmejaza wachinya wengi kwenu mpaka mnachanganya haya mambo ni nyinyi na ujinga wenu.

Mo kazaliwa bongo-unajua baba na babu yakewamezaliwa wapi????wewe hujiulizi mpaka mtu anazaliwa eneo kama singida ni kwa sababu gani??? Au utasema alitoa rushwa aonekane amezaliwa singida.

Wacha mafeeling bana.
Imekuuma..mtafute atakupa vizuri hadithi ya mababu zao
 
Acha ujinga kijana.kama mmejaza wachinya wengi kwenu mpaka mnachanganya haya mambo ni nyinyi na ujinga wenu.

Mo kazaliwa bongo-unajua baba na babu yakewamezaliwa wapi????wewe hujiulizi mpaka mtu anazaliwa eneo kama singida ni kwa sababu gani??? Au utasema alitoa rushwa aonekane amezaliwa singida.

Wacha mafeeling bana.
Hhhh!!!imekuum
 
ukileta evidence kua bakhresa muoman nafunga acc jamii forumπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hhhhhh!!!mkimbizi huyo...mu oman...mababu zake walikatalia kurudi kisa bongo shamba la bibi
 
Back
Top Bottom