Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

so hutaki zanzibar uwe tanzania au nia yako ni nini??????
Maoni hayapingwi...na maelezo yangu yanonyesha vizuri kuwa zanzibar na tz ni muungano...ila hoja yako ya mombasa unaipindisha pindisha tu kijiwe jiwe
 
tafuta mtoto mwenzio mufundishane about history yaonesha historia ilikupiga chenga maana inaonekana kinachokuuma zanzibar kua chini ya tanzania
Nime support hoja yangu...nawe pia suppo yako...muungano haunihusu mie...najaribu tu kukufunza bado zanzibar n nchi
 
leo nimecheka sana kua kuna mkenya hawataki zanzibar iwe chini ya tanzania wakat ni muungano wamiaka zaidi ya 50


ukiona unaumia sana kumpatia transformer ya kenya power
 
leo nimecheka sana kua kuna mkenya hawataki zanzibar iwe chini ya tanzania wakat ni muungano wamiaka zaidi ya 50


ukiona unaumia sana kumpatia transformer ya kenya power
Hhhhh!!,maoni hayapingwi....lete ya mombasa sasa..mm nishakupa ya zanzibar
 
Nime support hoja yangu...nawe pia suppo yako...muungano haunihusu mie...najaribu tu kukufunza bado zanzibar n nchi

haitabadilisha maana kua iko chini ya tanzania na haitabadilisha maana kua haiko tanzania . umenielewa hehhehehe yani whether you want or not hakuna mji wowote east and central unaeza shindana na unguja na pemba kwa beach hotels hakuna na haitatokea
 
haitabadilisha maana kua iko chini ya tanzania na haitabadilisha maana kua haiko tanzania . umenielewa hehhehehe yani whether you want or not hakuna mji wowote east and central unaeza shindana na unguja na pemba kwa beach hotels hakuna na haitatokea
Lete muungano hapa..nasuboria
 
Back
Top Bottom