Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
hahahhahaha eti picha imepigwapigwaje. Kwa hiyo wewe unataka iwe imegigwaje maana nikiangalia hapo naona kasarani, naona Jommo kenyatta convention centre, utaniambia hapo ni mahali pengine ila ni Nairobbery babampiga dili mwengine hyo naye...mnaleta picha ambayo hta hamjui imepigwajepigwaje..leteni maelezo kamili kuhusu hyo picha...hya rukeni rukeni..ila kupindisha maneno mnaruhusiwa..hyo kwenu km dili





