kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
ni kweli bro, ila kwa msimu huu azamtv haitoonyesha ligi ya uganda.Mkuu mbona umeishusha viwango hapo.kuna kipindi wanaonyeshaga 5 matches at per. Ligi za Rw na Ug included, jamaa ni wababe kwa upande huo. Kwa weekend match za Tz premier league mpaka 8 wanaonyeshaga, kuna za mchana, jioni na usiku.
wameaachana nayo baada ya kugundua ni league isiyo na profit kwao.ila league ya rwanda bado wataendelea kuionyesha.
NB:azam ndio waliotoa uamuzi wa kuachana na league ya uganda.