kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
sina shaka na wewe...ulishawahi kumtoa kamasi MK254 kwenye masuala ya programming.Hakuna cha Google hapo. Nilijua kabisa nikimpatia task anayoweza kupata kwenye google nitampa sifa. Na hapa kelele zingekuwa nyingi kweli.
Wakenya ni hopeless kabisa.
Inawezakuwa hajuu hata maana ya hizo code. Hizo code zinaitwa crashing system code. Don't try them.

