Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nilijua tu utakuja na road na mall,
c1b917f3-98c9-4add-934d-a15195e18266.png
Yuh lazima brathe thats what we have lazima tujigambe nazo what we dont have hatuwezi jilazimishia
DY4Sj1nW0AEGswm.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani baiskeli ni mauaji mpaka ukimbie???kama mmeamua kutumia baskeli haina shida,mbona hatuongelei nganya na ni upuuzi pia!!
hahahah hataki ionekane city alaf baiskeli ndio taxi yani anaficha aibu yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Infact wakenya ndio watu wasio na wivu kabisa, we like development and justice tungekuwa na wivu tungewafungia exports zetu after mlifunga zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kutokua na wivu of course you knew by doing so the situation will be even worst hapa East Africa no one could raise his head to Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
Sio kutokua na wivu of course you knew by doing so the situation will be even worst hapa East Africa no one could raise his head to Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
waambie nyangau, walianza kuchinjana 2007 kama siyo Tanzania - ungekuta kenya ni failed state kama inavyotabiriwa, uchaguzi wao uliopita manyangu pressure zilikuwa juu maana walikuwa wanadhani tanzania tutawawekea kiongozi, tungeamua tungemweka yeyote tunayetaka, Tanzania ni mfupa uliomshinda Mreno na makaburu, nyangau sidhani kama atafurukuta
 
Nasikia Dar kila kona ni majengo matatu tu ndio huwa yanaoneka TPA na PSPF twins.....! Mbona hapa siyaoni au sio Dar?!!
8b9faca0-2b17-4e4f-bbf8-f127f00d4451-jpeg.850105
 
Back
Top Bottom