hii eneo lingekua kenya sasa hvi ingekua mali ya kenyatta😂😂😂👇👇👇👇View attachment 835291View attachment 835292View attachment 835293
Mombasa
![]()
Mwenzako anakuonyesha public area wewe unaonyesha private premises, who knows hizo investments hapo ni zanani?Na hapa ingekuwa Dangagiza huyo kibarangoto wenu angesema ijengwe Chato International Airport
Tulidanganywa kua mombasa ni kali sana miaka ya nyuma lakini ni maajabu hadi Leo hakuna nyumba mpya ni majengo ya zaman tu...mnajenga zaidi Nbo mombasa mmeitelekeza maybe ingekua mbali zaidiMombasa
![]()
![]()
![]()
![]()
Mlimaliza albino??Tanzania tulishamaliza tatizo la Albino killings some years ago, but still you bring up daily.
Wewe si unajua biggest Port in this part of Afrika iko hapa Mombasa.Tulidanganywa kua mombasa ni kali sana miaka ya nyuma lakini ni maajabu hadi Leo hakuna nyumba mpya ni majengo ya zaman tu...mnajenga zaidi Nbo mombasa mmeitelekeza maybe ingekua mbali zaidi
Na story ikaishia hapo?Wewe si unajua biggest Port in this part of Afrika iko hapa Mombasa.
Yap, unless you beat it Mombasa imeishinda Dar hands down.Na story ikaishia hapo?
I thought this thread was about nairobi vs dar es salaam..what happened??? ...you want to say we have exhausted everything..kweli jf inaelekewa kwa dump
kwan we unafkiri hapa ni wapi😂😂👇👇I thought this thread was about nairobi vs dar es salaam..what happened??? ...you want to say we have exhausted everything..kweli jf inaelekewa kwa dump