Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaishi slum ipi eti Annael... Mnaishi na maviboy hapo Mwananyamala kwa kopa?
google earth๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
nairobi
3746296F-92F9-4667-973A-240B049257A4.png






dar es salaa
35CC8A41-C8FD-4DC2-96E6-37F5590A3F1D.png
 
Kwikwikwi Usilie mdogo ..
Naona umeanza kusinyaa muda baada ya muda. Somo ninalokupatia limekuingia viziri.
Umeanza kuandika ka msitari kamoja tu. Hii ni dalili ya kukubali. Zamani ulikuwa unaandija 5 pages. Lakini sasa huna cha kuandika. Dar imekutoa tongotongo.
 
Naona umeanza kusinyaa muda baada ya muda. Somo ninalokupatia limekuingia viziri.
Umeanza kuandika ka msitari kamoja tu. Hii ni dalili ya kukubali. Zamani ulikuwa unaandija 5 pages. Lakini sasa huna cha kuandika. Dar imekutoa tongotongo.
Tulia Panadol ikuingie
 
Ninakupa ushauri wa maana wewe unaleta matani. Lewisi anaozea kwenye slum. Hebu mtazame miguu yake! Vidole vyote vimeliwa na funza. Msaidie mkenya mwenzako. Halafu msaidie kuhusu suala la internet ili niwe nawasaidia wote kwa pomoja online.
i have never been to a slum nig**.
mi ni mtu napenda life, na kama vip, check my profile pic in a few, unione mimi mwenyewe
 
Tulia Panadol ikuingie
Nashukuru kwa kunielewa vizuri. Conclusion usishobokee vitu usivyovijua fanya research kwanza. Mambo ya kuja kupiga domo humu na majigambo ya kikoloni huku flying toilets zikiwa zimejaa mtaani kwenu hatuyataki.
Muwe wasafi kwanza ndio tutawafikiria.
 
Annal, by the way i don't chat when am shit-faced, lest i lose my reputation. so wewe ji-enjoy!
 
i have never been to a slum nig**.
mi ni mtu napenda life, na kama vip, check my profile pic in a few, unione mimi mwenyewe
Nataka picha yako ya sasa hivi. Mambo ya profile ni nini bana!!. Mbona hata profile yangu inanionesha mimi ni rais wa kwanza wa NK.
Leta picha yako tukuone hapa ebo.
 
Mwenzenu anaozea kwenye slums, halafu wewe unaita rubbish!! Labda kwa kuwa siyo mkikuyu mwenzenu. Wakenya tribalism itawamaliza.
Tribalism in Kenya looks ugly but its actually not! I personally have seen marriages between kikuyus & Luos and intermarriages throughout kenyan tribes but hence slowly turning into a past thing. We only see tribalism in politics these days
 
Annal, by the way i don't chat when am shit-faced, lest i lose my reputation. so wewe ji-enjoy!
You don't have any reputation. Usijipaishe, naona mnafukuzwa uhuru park unataka kujifanya huelewi.
 
That thing was refurbished. The tracks are blue not red na nyasi ilitengenezwa better. That stadium is old. Na na parts za indoor games. Basketball, Volleyball etc, name them all. And yeah. Rugby and cricket pitches loading.....
Acha wapige siasa sisi tukihost international events
 
Tribalism in Kenya looks ugly but its actually not! I personally have seen marriages between kikuyus & Luos and intermarriages throughout kenyan tribes but hence slowly turning into a past thing. We only see tribalism in politics these days
How about MUGIKI killings. Juzi tu Mungiki version two ilijitokeza.
Hata kwenye mnapoenda kwenye nchi tofauti na kenya mnabaguana we know you well. Usijifiche kwenye ubua.
 
Nataka picha yako ya sasa hivi. Mambo ya profile ni nini bana!!. Mbona hata profile yangu inanionesha mimi ni rais wa kwanza wa NK.
Leta picha yako tukuone hapa ebo.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom