Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

There is nothing scarery in your post..its that Tanzanians aren't in twitter to post crimes in the city

it's very easy to pretend like you don't care about the effect brought by nairobi criminal gangs.

but I'm sure you will run like a chicken when told that "super power" is approaching your way.

0c59506dcd0913d012b15bd13da01ff5.jpg

Hahaha kwahiyo umetafuta umekosa!!
mkuu huyo dogo muache ajifariji.uzuri tunazo habari za kutosha kuhusu matukio ya uhalifu na hofu iliyotanda Miongoni mwa wakazi wa nairobi.

sasa hivi baadhi ya maeneo ya nairobi,wanasumbuliwa na kikundi cha kihalifu kinachofahamika kwa jina la "super power".unaambiwa hawa vijana matukio yao ni zaidi ya Panya road wa dar es salaam.kuuwa kwa siraha kwako ni jambo la kawaida.
 
Yanini
kila jengo Nairobi juu mnara
mnakuja eti 200m
hahaha mnara una 70m
Hakuna mnara wa 70m. Nairobi. na ni majengo mangapi yaliyo na minara Nairobi? Kicc, Times Tower? mind you, Kicc na Times Tower zilishapotea, kuna majumba mengi yaliyo marefu zaidi
 
lol!!! Bongolalans... muniamshe mukishajenga jengo zaidi ya 160m. nitajikata kidole mukijenga jengo zaidi ya 200m. na nijitoe uhai mukijenga jengo zaidi ya 300m. bwaahahahahahahaha..... Hass Baby!
 
lol!!! Bongolalans... muniamshe mukishajenga jengo zaidi ya 160m. nitajikata kidole mukijenga jengo zaidi ya 200m. na nijitoe uhai mukijenga jengo zaidi ya 300m. bwaahahahahahahaha..... Hass Baby!
Umeanza kuogopa bado mapema yani hata robo sijafika hahahahahah wazee wa minara tulieni tuwape vitu tusikimbiane humu lakin hahhahaahaha
 
Morroco square .....
office spaces ,hotels,residential area,retail spaces all in this...it's among the biggest project in east and central Africa worth 75million USD
c03bb320d620a475faa02eb5b52c7143.jpg
1c151ef0ee7130f29ce7c0131f317f88.jpg
07b7e40ed69960f4f2c424d7284adb83.jpg

the project is complete by 80% ,up to December will be 100% complete. ..
lol!!! Bongolalans... muniamshe mukishajenga jengo zaidi ya 160m. nitajikata kidole mukijenga jengo zaidi ya 200m. na nijitoe uhai mukijenga jengo zaidi ya 300m. bwaahahahahahahaha..... Hass Baby!
 
Ukweli gani unaouma mm nilikwambia hakuna sehemu mutatoboa kwa dar tulia sasa ndo tumeanza hahaaahahhahaha
kama saa hii ndio mumeanza basi ndugu yangu kazi ipo. sis ivi vitu tulivianza miaka ya 70's.
kumaanisha nyinyi muko na miaka 50 nyuma. Amkeni Bongolalans Amkeni.
 
Back
Top Bottom