Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

umefikiria vizuri sana,tunawatumia kama mfano siku zote.

mlianza na 6 lane roads kupunguza jam,tukaleta BRT.
mmenunua treni ya mafuta 2018,sisi tunaleta ya umeme 2019
tumepanua uwanja ili kuongeza matumizi jknia.
tumeshawaacha katika utalii.

kitu tumewaacha mfarijike nayo kwa muda ni GDP.nayo tunaipea 10 yrs.
As the gap keeps on increasing.., That will never happen, nyang'au ni nyang'au!.,
 
Nigeria amekopa kidogo kuliko nyie je unataka kusema ke imezidi Nigeria?
Ur reasoning is wanting!!
Nigeria wana subsidy ya mafuta., lakini bado wanakopa! na wana uwezo wa kukopa zaidi na zaidi, kama GDP mzima ya Tz. Pambana na hali yenyu, propaganda republic.
 
Kiukweli naiona tz inaelekea mahala pazuri sana huko mbeleni huu ni wakati sahihi kwa maendeleo haya. We deserve this
Unlike you tanzanians we wish you the best...kwani you think we in the same level???blind patroitism...karibu kenya.. utadhani uko ulaya...
 
Kama kawangware ni slum, then Dar yote ni slum, inafanana na mtaa mingi ya Dar!
wapi wamesema hapa au😀😀😀😀
AACD15CC-F10E-4699-B738-2B87627F0F83.jpeg
 
Nigeria wana subsidy ya mafuta., lakini bado wanakopa! na wana uwezo wa kukopa zaidi na zaidi, kama GDP mzima ya Tz. Pambana na hali yenyu, propaganda republic.
leo munateseka na kulia juu ya tanzania heheh mulijua bado ni ile 90s😛😛😛😛
 
kenya kuikimbiza tanzania ni kutu stupid.Tz inakimbia kwa speed of light yaani hamuwezi kujicompare na sisi hata tourism sasa tumewashinda coz tz ina total package. Mtalii hawezi kwenda maasai mara aiache serengeti,mombasa aiache Zbar, hawezi kupanda mt.kenya aiache legendary knjaro. Kenyans daddy was gone for so long but now he's back so pack your little bags and head for the exit sign lol
Speed of light ndio speed mmejenga nayo tazara na ubungo interchange? Nyinyi hata speed of darkness hamjui
 
Hello there.... Are Danganyikans still defending the indefensible???? Are they still claiming Dar is slum is the largest city in the world??? Are they still claiming Danganyika is the largest Economy in the world??? Are they still claiming Danganyikans are descendants of Mary the mother of Jesus????
 
Back
Top Bottom