Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pamoja sana kiongozi hatuwezi kuwaacha vichaa wachache waje kutuharibia JF yetu, jamaa alikuwa ananitia hasira sana na matusi yake akiona ameshindwa kwenye hoja anatumia matusi, job well done mkuu.
 
Ahhahahaha random pics au sio hahhaha top eti rahaaa sana jipe moyo sio mbaya hahhahhahhaha
Mm hua munanifurahisha sana sijui kwa wengine
 
Aisee jamaa kapotezwa.
 
Hiyo ni ya mzingo. Si hata nimekuonyesha zote mbili side by side. Treni aina mbili Kenya zililetwa kuhudumu kwenye reli ya SGR, ya mizingo na ya Abiria

So are those modern train????? Dereva mpaka aekewe ngazi za kupanda na kushuka serious????
Hahaaahahahah hebu niambie wewe unaona VP
Bro wachina wamewapiga mm nakwambia
 
Mwongozo beach Housing estate, Kigamboni Dar es salaam. Project inaelekea kuisha sasa
 

Attachments

  • 9.jpg
    29.9 KB · Views: 77
  • 8.jpg
    36.7 KB · Views: 70
  • 7.jpg
    25.4 KB · Views: 60
  • 3 (1).jpg
    31.4 KB · Views: 80
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…