Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama yako haikosei anaregret kukuzaaa ni vile we in kichwa ngumu hady uli abortiwa ukakataa
Hahhhahhahahaha povuuuuuuuuuuuuuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€οΏΌοΏΌοΏΌοΏΌοΏΌοΏΌπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Tukiwaambia hii Tanzania ya 2017 munabisha na mishipa inawasmama huku povu zikiwatoka....tushindane nini humu ndani wakati kila pemebe ya development inaonaekana ikiwa motoooo.....alaf badae munasema ichoboy mbaya Mara hana akili πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Thika road hadi muthaiga ni 10 lanes fala hii...alafu inakua 8 lanes hady thika then 6 lanes hady kenol...ata nimepitia huko leo
"Thika road had muthaiga ni 10 lanes"? Sijakuelewa, unamaanisha Thika hadi muthaiga ni 10 lanes au from wapi to muthaiga ni 10 lanes?
I believe there are pictures of the 10 lane stretch. Please isiwe where service road merges into the main road. Tuonyeshe hata 200meters stretch of pure 10 lanes, ntaamini.
 
Huyo hajielew wala hajui maana ya 10 lanes anapenda kujifurahisha nafsi yake, akili take fupi sana ndio maana hawaishi uongo na kuhamisha picha za nchi zingine humu....hahahhahaa mm hua nawajua ndio maana hua hawanisumbui sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…