Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Estates za kando ya bahari...but lami hakuna sijui mbona
Hizi ndio suburbs zenyu😱😱😱😱😀😀😀
Same as Nakuru
Panaitwa mbweni...nimejitahidi kutafuta picha Za karibu ili muone izo nyumba nmepata iyo....Ni miji mipya iyo next ntawaletea madale na goba zote zipo ivyo lakin madale na goba Haziko beach ivyo... Dar Ni kubwa sana kuweka lami kila mahali ni mtihani lakin wanajitahidi sana kupangilia miji sahv

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Sasa tunashusha Pumzi
Tanzania ipo Salama salimin
Kuna mataifa yaloomba sana na yalitegemea Tar 26/4 Tanzania itakuwa ya moto!!

HONGERENI JESHI LA POLISI TANZANIA
IMG_20180426_163748_726.jpg
IMG_20180426_163809_849.jpg
IMG_20180426_163832_474.jpg
IMG_20180426_163921_128.jpg
IMG_20180426_163859_303.jpg
IMG_20180426_164051_098.jpg
IMG_20180426_163942_347.jpg
IMG_20180426_164022_547.jpg
IMG_20180426_164003_648.jpg
IMG_20180426_155043_749.jpeg
 
Panaitwa mbweni...nimejitahidi kutafuta picha Za karibu ili muone izo nyumba nmepata iyo....Ni miji mipya iyo next ntawaletea madale na goba zote zipo ivyo lakin madale na goba Haziko beach ivyo... Dar Ni kubwa sana kuweka lami kila mahali ni mtihani lakin wanajitahidi sana kupangilia miji sahv

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Natamani nairobi suburbs zake zingekuwa karibu na bahari sipati picha........hicho kipande mkakiweka barabara za rami alafu mjenge nyumba zinavutia panaweza shindana na capetown na kina Beverlyhills 😎
 
Natamani nairobi suburbs zake zingekuwa karibu na bahari sipati picha........hicho kipande mkakiweka barabara za rami alafu mjenge nyumba zinavutia panaweza shindana na capetown na kina Beverlyhills 😎
Wanapaboresha hakuna kujenga hovyo nafasi za barabara zipo wataweka lami na taa taratibu kwa awamu ...I'm looking for the next aerial view
 
Back
Top Bottom