Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimefuatilia picha zako humu
katika picha 53
Kunapicha 13 umeziiba si Nairobi
ila muda ntaanza kukuumbua na ujingawako
endelea kupost mimi nahesabu tu
Iyo ndio uitwa jealousy ama wivu...ends ukajonyonge brathe
 
Nimefuatilia picha zako humu
katika picha 53
Kunapicha 13 umeziiba si Nairobi
ila muda ntaanza kukuumbua na ujingawako
endelea kupost mimi nahesabu tu
Ujinga ni wako, vipi kuchukua muda kuhesabu picha!! Hivi huna jingine la kufanya?? Kweli Wabongo ni mazuzu ajab!! Muda unao wakuhesabu picha zaidi ya 100!! Wallahi!!! HHhhhhhhh
 
Hhhhhhh! We umewahi ona wehu kama huu?? Eti jamaa emeenda kuhesabu na analyze picha nimetuma zaidi ya 100, sijui ndio apate nini
Cijui kwa nini Nairobi inawa bother sana..yet its known world wide that Nairobi is the economic powerhouse of eastern and central Africa
 
Hhhhhh.
Pole Sana Dogo .Kenya Mambo yanafanyika tofauti sana na Tz.
Hahahahhaha tafuteni 2 trillion kwanza haahahhha ndio mukomboe ujenzi hahahaha mlikua mjnamtegemea Uganda alete bomba sasa kashachomoa haahahhahhah munakufa pekeenu...munaleta danganya Toto hapa
 
Dar kuliishiwa kabisa?? Basi mtu aanzishe ligi Dar vs Eldoret sababu hapa naona wamelemewa kabisa
😀😀😀😀😀😀😀 tumekwambia biggest urban city naona huelew hhahahhah 1590 km sq ingiza Nairobi ingiza kisumu ingiza mombasa hahhaah munaishia 1196 km sq hahahhahahahah😀😀
 
For business as usual, Seychelles is proving to be a good business partner to Kenya
C8eiUxVWAAA7sVN.jpg
Pole sana alianza Tanzania hahahahhaha
shelisheli.jpg
 
Ujinga ni wako, vipi kuchukua muda kuhesabu picha!! Hivi huna jingine la kufanya?? Kweli Wabongo ni mazuzu ajab!! Muda unao wakuhesabu picha zaidi ya 100!! Wallahi!!! HHhhhhhhh
Tatata lila
Wizi na majisifu ndio Asili ya mkenya!
Kwanini upost pucha miji yawatu na ukijidai Nairobi!!
Mpaka sasa nimefikisha picha 16
Nahesabu nikuumbue vizuri
 
😀😀😀😀😀😀😀 tumekwambia biggest urban city naona huelew hhahahhah 1590 km sq ingiza Nairobi ingiza kisumu ingiza mombasa hahhaah munaishia 1196 km sq hahahhahahahah😀😀
How many times should l tell this to you that the size of a city is not estimated in terms of physical size. Dar might be a large county but majority of it is rural. Dar es Salaam can't even compare to Eldoret let alone Mombasa
 
Barclays Two Rivers now open
As Barclays closes business in African Countries, in Kenya it opens new branches, it says a lot
C8JMlu_VoAAoibN.jpg
 
Back
Top Bottom