kwanza tumalize unakimbia wapi umesema CBD ya dar haina mpangilio sasa hawa wakina mama wanaotandika biashara zao chini ndan ya CBD unalizungumziaje?? huo ndio mpangilioππππππkuna data muhimu hapa za middle class
pole sana mimi bado kijana fresh...huwezi ukaniona nakimbilia youtub mara twitter ku piga search" tanzania" ilhali mie mkenyaNa wewe ni Ajuza unayemshambulia Mzee mwenzako
Jay456watt hii hujaona au sio πhapa ni CDB nairobi sasa tueleze πππ
toa hoja hata kama unamaumivu we toa sumu tu sio unacheka tako la mwenzio lina kovu wakat lako lina kidonda
View attachment 738114 View attachment 738116 View attachment 738117
Jay456watt hii hujaona au sio π
hiii hujaona broπππ au ni mwibahapa ni CDB nairobi sasa tueleze πππ
toa hoja hata kama unamaumivu we toa sumu tu sio unacheka tako la mwenzio lina kovu wakat lako lina kidonda
View attachment 738114 View attachment 738116 View attachment 738117
usijari... nipe dakika kadhaa.kadoda kama una ile picha ya wakina mama wakiuza mboga maeneo ya CBD nairobi naomba upost humu
poa mletee huyo kilaza wakikenya nafkiri alikua hajui maana ya ustaarabu CBD πππusijari... nipe dakika kadhaa.
ukisikia "usenge-nyaji" ndio huu.[emoji23] [emoji23]mzee flani wa miaka karibia 60 kila mara yupo twitter na youtube antafta comments za wakenya ila ni mtzduh! watu hawajiheshimu kabisa karne hii teenagers wanabehave kama frownups grownups wanabehave kama teenagers
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Na wewe ni Ajuza unayemshambulia Mzee mwenzako
deal with issues please. yaonekana unavutiwa sana na wanaume mashababi wenye umri mkubwa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]pole sana mimi bado kijana fresh...huwezi ukaniona nakimbilia youtub mara twitter ku piga search" tanzania" ilhali mie mkenya...wazee wenu akili hawana kabisa...mtu anafaa awe sasa hivi anapiga hesabu jinsi atavowaachia watoto uridhi anapambana na wakenya YouTube
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Jay456watt hehehe huu ndio ustaarabu CBDπππππ nimekukamata kwa makei au sio evart jionee bro hapo ndio CBD nairobi
View attachment 738136
Hapo ni mlango wa marikiti market na sio karibu na cbdJay456watt hehehe huu ndio ustaarabu CBDπππππ nimekukamata kwa makei au sio evart jionee bro hapo ndio CBD nairobi
View attachment 738136
anhaa sasa unatuone mafala kweliπππHapo ni mlango wa marikiti market na sio karibu na cbd
Kama english inasababisha tupitwe na mengi basi tunaopitwa ni wengi Nenda china au german,spain n.kni vizuri kuchanuka kidogo bro...kiingereza kwa sasa ndio lgha ya dunia..sasa nyie mkijikwamua tu na lugha moja mtafanya biashara kivipi? sio kwamba tunakienzi kiingereza kuliko lugha zetu ila ukweli wa mambo ni kuwa kiingereza ndio lgha ya kimataifa katika karne hii...ndio maana mnapitwa na mabmo mengi sana...hivi haujajua mpaka wachina wameanza kujifunza kiingereza?
Hivi kwanini mnapenda kuva ma koti makubwaaaa!! Au mnabeba githeri kwenye mifuko ya koti [emoji1] [emoji1] [emoji1]tazama Nairobi CBD watu walivo...huwezi ukawaona watu wamebeba mitungi kichwani kana kwamba wanaenda mtoniπππππ
mbona unajishukudeal with issues please. yaonekana unavutiwa sana na wanaume mashababi wenye umri mkubwa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kila mtu na style yake...sasa ulitaka wavae kama wewe au?πππ lakini hiyo ya githeri imenimaliza banaππππusinichekeshe hivo tena banaHivi kwanini mnapenda kuva ma koti makubwaaaa!! Au mnabeba githeri kwenye mifuko ya koti [emoji1] [emoji1] [emoji1]
unataka kunafanisha kiswahili na hizi lugha....spanish, german na chinese zinazungumza na watu zaidi wewe bana mbona unareason kama mtoi?πππchinese pekee ina 1 billion speakers...spanish ina more than 500 million speakers..sasa kiswahili inazungumzwa EA pekee yake unataka kuniambia mtafanya biashara nje ya ukanda huu kivipi kama jaji anazungumza kiingereza cha mtoto wa nursery..ama mtaandika translators kila uchao??π...Kama english inasababisha tupitwe na mengi basi tunaopitwa ni wengi Nenda china au german,spain n.k