mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
A confused Slum City.HAYA BASI
![]()
![]()
![]()
![]()
BONUS KARIOKOO
![]()
A confused Slum City.HAYA BASI
![]()
![]()
![]()
![]()
BONUS KARIOKOO
![]()
ndio hamuna sasa😀😀😀😀😀😀😀Small things do not really excite us Kenyans.
Hapo najua dawa imekuingia hadi kwa bone marrow.
We dont have small things man.ndio hamuna sasa😀😀😀😀😀😀😀
ukhakhakha maana nimecheka mpaka kicheko kimebadilika😀😀😀😀😀😀We dont have small things man.
Unawaumiza bana, such a project in Tz would elicit lots of emotional breakdown among s the citizenryHebu nionyeshe interchange inakaaje?nionyeshe hio ya ethiopia alafu naomba nipe jina ya hizi hapa
![]()
![]()
![]()
![]()
Umia pole poleukhakhakha maana nimecheka mpaka kicheko kimebadilika😀😀😀😀😀😀
Imeelezwa vizuri katika wikipedia, soma uweze kutofautisha kati ya interchange na flyover, usichanganye kama mnavyofanya sasa hivi, hiyo ya Tanzania sio interchange, na Kenya hakuna interchange, ile ya Ethiopia ipo you tube, na Ghana wanayo moja you tube.Hebu nionyeshe interchange inakaaje?nionyeshe hio ya ethiopia alafu naomba nipe jina ya hizi hapa
![]()
![]()
![]()
![]()
welcome to nairobiAcha kuharibu jina la interchange wewe, hamjui interchange maana yake ni nini, ndiyo sababu mnasema hii ni interchange, Tanzania haina interchange, Kenya hakuna interchange, Ethiopia wanayo moja, sasa hivi Tanzania tunajenga moja, itakuwa ni interchange ya pili katika ukanda wote huu wa East and central Africa.
Kwanini isiniingie wakati ninajua jirani yangu ni terrorist?Hapo najua dawa imekuingia hadi kwa bone marrow.
😀😀😀 una picha ya hio ya ethiopia ama maneno tu,Imeelezwa vizuri katika wikipedia, soma uweze kutofautisha kati ya interchange na flyover, usichanganye kama mnavyofanya sasa hivi, hiyo ya Tanzania sio interchange, na Kenya hakuna interchange, ile ya Ethiopia ipo you tube, na Ghana wanayo moja you tube.
Ntakulipua buda...😀Kwanini isiniingie wakati ninajua jirani yangu ni terrorist?
Sasa hizi barabara za duara na juu kuna road pass over moja ndiyo unaita interchange?, madhara ya kutotoka nje ya Kenya hayo.welcome to nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jobless leo umeingiza shillingi ngapi??I will tell you that its one hell of a joke...Tz being an LDC will get such I mean you've surpassed your peers with a mega project at LDC'S STANDARDS. Mmewashinda kina Afganistan, Malawi, Uganda but that does not mean you are above Kenya,SA or Nigeria😛😛..kudos anyway if that will make you sleep.
Nisamehe usinilipua, huku Bongo hatujazoea hayo mambo ya kulipuana, hii ni nchi ya Amani, maziwa na asaliNtakulipua buda...😀

Umeleta picha za BRT ikiwa bado kwenye ujenzi. inawachoma kama pasiHAYA BASI
![]()
![]()
![]()
![]()
BONUS KARIOKOO
![]()
as i expected, nio kuropokwa tu. hata hujui maana ya interchange lolImeelezwa vizuri katika wikipedia, soma uweze kutofautisha kati ya interchange na flyover, usichanganye kama mnavyofanya sasa hivi, hiyo ya Tanzania sio interchange, na Kenya hakuna interchange, ile ya Ethiopia ipo you tube, na Ghana wanayo moja you tube.
BRT na Uganda pipeline hawatokaa wavisahau, vinawachoma kama moto wa pasi.Umeleta picha za BRT ikiwa bado kwenye ujenzi. inawachoma kama pasi