Kambalanick
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 1,157
- 1,052
NAIROBI
WABERA STREET
WABERA STREET
Mimi naona Tanzania ni nzuri mnoo ndo maana wakenya kila mtu anatamani kuja hapa..sisi kwetu kuzuri kuna asali na maziwa ndo maana tumetilizana kwetu tuki-enjoyMagufuli mwenyewe alisema "kenya ni country no. one with 547 Kenyan owned companies inside Tanzania".
Innovation???????????Hahhahha huko pagumu au sio Tanzania ndio nchi yenye telecommunication companies 11 nyie muna 3 bado unataka ushindani wewe
Mm bado nakuonesha kua Tanzania is super giant to u hahahahahahhahaInnovation???????????
Alafu unipe innovation ya tz recognized globally
Hehehehe naona dar inakupeleka mbio sana