Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We we na uzee wako
Victor wanyama road
Kibaki road
Obama road
Kenyatta road
Unaanza kusema petty staff
Grow up!!!!!
Hivi ninyi wakenya mna akili timamu kweli?, nani alikuambia Obama ni mkenya?, ni nchi gani duniani inayoruhusu mtu asiyekua raia au mwenye dual citizenship kugombea nafasi ya urais?, even shithole country like Kenya doesn't allow that, badala ya kupambana na njaa, mnakazania kujikomba kwa Obama, stupid shithole country.
 
Hivi ninyi wakenya mna akili timamu kweli?, nani alikuambia Obama ni mkenya?, ni nchi gani duniani inayoruhusu mtu asiyekua raia au mwenye dual citizenship kugombea nafasi ya urais?, even shithole country like Kenya doesn't allow that, badala ya kupambana na njaa, mnakazania kujikomba kwa Obama, stupid shithole country.
Hawa wajamaa ni vilaza kweli eti Obama viaz sijapata kuona
 
😀😀😀😀 60% debt to GDP ratio
nchi imefkia hatua inakopa deni kulipa deni😛😛
9F53BEFC-06FD-4E70-AEE4-326B005EC2EE.jpeg
1A8A39CD-E2CB-40D7-B94F-AE5AABCB3DB4.jpeg
 
nairobi cbd is not safe anymore, watu wanapigwa ngeta mchana kweupe.

unaambiwa wapiga kabari(muggers) ndio habari ya mjini kwa sasa pale nairobi town. they run the cbd.
a0619d573d2d89cbca45035fc16ff2e7.jpg
ac9166fbc18172cd609fe79c83023f2e.jpg


joblessness isn't a joke guys...it's something very serious.
 
Hivi ninyi wakenya mna akili timamu kweli?, nani alikuambia Obama ni mkenya?, ni nchi gani duniani inayoruhusu mtu asiyekua raia au mwenye dual citizenship kugombea nafasi ya urais?, even shithole country like Kenya doesn't allow that, badala ya kupambana na njaa, mnakazania kujikomba kwa Obama, stupid shithole country.
Wachana na mkenya mwenzetu Obama....idiot.
 
nairobi cbd is no longer as it used to be.

kwa sasa cbd imejaa uchafu na hawkers(wamachinga) kila kona wakigombania nafasi za kuchuuza bidhaa zao.

jambo lingine ambalo ni la hatari zaidi ni kwamba kwa sasa cbd imevamiwa na vijana majobless wanaotembea kwa makundi wakipora watu na kuwapiga kabari wapita njia mchana kweupe.

kwa mtz yoyote anatakaye tembelea nairobi hivi karibuni, achukue tahadhari.

ebfe73e79af2143b38a2402bfd4cfcf9.jpg
31a75fbeae0e26ee6bacce70ec86e49b.jpg
cddbb1898e817a39521b7556c5c9313b.jpg
91d6d9b2dcb6a3c8e0ff54aee9b0fc9b.jpg
7601d61ebd16e861783db4a3f5f90094.jpg
 
nairobi cbd is no longer as it used to be.

kwa sasa cbd imejaa uchafu na hawkers(wamachinga) kila kona wakigombania nafasi za kuchuuza bidhaa zao.

jambo lingine ambalo ni la hatari zaidi ni kwamba kwa sasa cbd imevamiwa na vijana majobless wanaotembea kwa makundi wakipora watu na kuwapiga kabari wapita njia mchana kweupe.

kwa mtz yoyote anatakaye tembelea nairobi hivi karibuni, achukue tahadhari.

ebfe73e79af2143b38a2402bfd4cfcf9.jpg
31a75fbeae0e26ee6bacce70ec86e49b.jpg
cddbb1898e817a39521b7556c5c9313b.jpg
91d6d9b2dcb6a3c8e0ff54aee9b0fc9b.jpg
7601d61ebd16e861783db4a3f5f90094.jpg
Dalili za a failed state
 
blablabla.
show me any prominent person in tz who wears a t-shirt, trouser or shoes that has been branded with anything from kenya.

joho wears a cap that been branded with ali kiba's signature.


Petty acclaim! Kila paka na starehe zake
 
Back
Top Bottom