Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stop showing us vitu za nchi zingine. Ulisema you have hybrid pitch. Tuonyeshe picha ama video kama hiyo to prove your point. Why are yiu looking for validations thousands of kilometers away wakati hybrid putch mnayo hapo hapo uswazini?
tukuonyeshe picha na watu waliweka 4 years back?
1787927443654.png
 
From late 80s to end of the last century, Kasarani was the king of East and Central Africa. It set the standard. Now Kenya has raised the bar again. Watch Football only stadiums start coming up in the region. Ethiopia is next . That’s how Kenya leads ukanda huu .
BTW which standard mlikua mmeset, si timu zenu zilikua zinaomba kucheza uganda au tanzania 😂 😂 , au ulitaka professional football ikachezewe kwenye nyasi mbovu 😂😂😂😂😂


View: https://www.youtube.com/watch?v=_H47OsVotYU&t=91s&pp=ygUTZ29ybWFoaWEgdnMgZXZlcnRvbg%3D%3D
 
Nicxie you are only commenting about the kawangware grass, waiting to hear something about this uniform 😂 😂
1787928404445.png
 

Hongereni japo hofu yangu ni kwamba slums huenda zikaongezeka maradufu, kwasababu hakuna asiyejua kwamba kenya kuna gap kubwa btw wenye nacho na wasio nacho, jiulize slum dweller gn ata afford kupanga hapo? Ni kama mnawaambia wakajenge slums kwengine, na hata kama mtawapa bure few years to come patageuka pipeline mpya. Africa sijui nani kawaroga, maskini wanahitaji watengenezewe mazingira ya kupata kazi au shughuli za kufanya ili ku improve their standard of life na siyo kuwajengea, haitasaidia.
 
Hongereni japo hofu yangu ni kwamba slums huenda zikaongezeka maradufu, kwasababu hakuna asiyejua kwamba kenya kuna gap kubwa btw wenye nacho na wasio nacho, jiulize slum dweller gn ata afford kupanga hapo? Ni kama mnawaambia wakajenge slums kwengine, na hata kama mtawapa bure few years to come patageuka pipeline mpya. Africa sijui nani kawaroga, maskini wanahitaji watengenezewe mazingira ya kupata kazi au shughuli za kufanya ili ku improve their standard of life na siyo kuwajengea, haitasaidia.

View: https://www.youtube.com/watch?v=JvGkHjZBhYw
 
Hongereni japo hofu yangu ni kwamba slums huenda zikaongezeka maradufu, kwasababu hakuna asiyejua kwamba kenya kuna gap kubwa btw wenye nacho na wasio nacho, jiulize slum dweller gn ata afford kupanga hapo? Ni kama mnawaambia wakajenge slums kwengine, na hata kama mtawapa bure few years to come patageuka pipeline mpya. Africa sijui nani kawaroga, maskini wanahitaji watengenezewe mazingira ya kupata kazi au shughuli za kufanya ili ku improve their standard of life na siyo kuwajengea, haitasaidia.
hizo slums haziwezi kuisha, watu hawana ela serikali inajenga nyumba za kuuza 😂 😂 😂

View: https://www.youtube.com/watch?v=JvGkHjZBhYw
 
Hongereni japo hofu yangu ni kwamba slums huenda zikaongezeka maradufu, kwasababu hakuna asiyejua kwamba kenya kuna gap kubwa btw wenye nacho na wasio nacho, jiulize slum dweller gn ata afford kupanga hapo? Ni kama mnawaambia wakajenge slums kwengine, na hata kama mtawapa bure few years to come patageuka pipeline mpya. Africa sijui nani kawaroga, maskini wanahitaji watengenezewe mazingira ya kupata kazi au shughuli za kufanya ili ku improve their standard of life na siyo kuwajengea, haitasaidia.
Ungetuambia nyinyi mnafanya nini kupunguza slums zenu za uswazi badala ya kucriticize juhudi zetu.
 
Imagine mwenye amejumuishwa will be the main host🤣🤣😂😅.

All the important matches will be played in Kenya.
CAF is very cautious when it comes to projecting a positive image . AFCON coming soon after just concluded world cup, CAF knows all eyes will be on the continent and Talanta gives that confidence that Africa has arrived on the high table. Imagine European fans watching opening ceremony or the Final and seeing a running track…🤣🤣🤣They will conclude Africa has a long way to go . CAF must showcase Africa at a higher level. The most important moment of any tournament is the opening match and the Finals . Welcome to Talanta …💯💯💯💯
 
Back
Top Bottom