IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 7,275
- 9,411
Picha gani nimegeuza bongolala. Tofauti ni kwamba nimekuletea picha kutoka Parklands, Kileleshwa, South C , South B, Pangani, Eastleigh na Kilimani. Hakuna Westlands, CBD Wala Upper Hill wewe unaniletea ya cbd coz you know nje ya cbd hamna kitu cha kulinganisha na hayo maeneo ya Nairobi.Unageuza heuza tuu picha,Sasa Kuna tofauti gani na hapa? 👇👇View attachment 3622533
unasemajeWacha kutuonyesha dwarf buildings.
12 floors??🤣🤣 Hizo tumeachia Kisumu, Nakuru na Eldoret
this was last monthPicha gani nimegeuza bongolala. Tofauti ni kwamba nimekuletea picha kutoka Parklands, Kileleshwa, South C , South B, Pangani, Eastleigh na Kilimani. Hakuna Westlands, CBD Wala Upper Hill wewe unaniletea ya cbd coz you know nje ya cbd hamna kitu cha kulinganisha na hayo maeneo ya Nairobi.
Na ujue focus ilikuwa kuonyesha buildings za 10-19 floors Nairobi wakati wewe ushatuonyesha tallest buildings in Dar in comparison! 😂
But kenyans want to live in tz, au ni london yako we mwenyewe
London haina glass building every week a building collapses
Au tuiite low quality london, it has low quality buildings
Bongolala, my focus was on those dwarf buildings of less than 20 floors on purpose. Read and understand what I said in that post. I was very categorical hadi nikasema kwamba vyumva vya chini ya 20 floors hatuna hamu nazo tena coz they are almost everywhere in Nairobi.U
Ume prove tu nilichosema jana. 😆😆😆 majority ya hizo buildings zenye mnajisifu ni kati ya 2 floors -15 floors kama picha zako zinavyojieleza.. same thing we are doing in Tz.
Mlidai kwamba hatujengi magorofa sasahivi kabisa .. nimewaonyesha projects zinazojengwa. Sahii mmebadili mada 😂😂😂 stupid people.
Wewe hujielewi 🚮Bongolala, my focus was on those dwarf buildings of less than 20 floors on purpose. Read and understand what I said in that post. I was very categorical hadi nikasema kwamba vyumva vya chini ya 20 floors hatuna hamu nazo tena coz they are almost everywhere in Nairobi.
I said this after majority of you guys started posting buildings za chini ya 20 floors under construction in Dar na kuzisifia to our surprise! We were simply reminding you guys that we already moved on from such dwarf buildings, na kwamba we don't even document them.
After this, mmoja wenu akasema ni visingizio and that's when I started posting such buildings from across Nairobi to remind him that sio visingizio bali ni uhalisia; kwamba we don't get carried away by such buildings like you do coz they are everywhere and we don't even post them here!
That's why you didn't see any pictures of CBD, Upper Hill or even Westlands in my post
Sasa unalinganisha your full year of 2025 na half year ya Mombasa Port ya 2020? You are really so desperate 😂😂🤣Transit volumes between Tanzania ports and Kenya ports View attachment 3622627View attachment 3622628