Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Transit volumes between Tanzania ports and Kenya ports
Screenshot_20260704-214324.jpg
20260521_121954.jpg
 
Unageuza heuza tuu picha,Sasa Kuna tofauti gani na hapa? 👇👇View attachment 3622533
Picha gani nimegeuza bongolala. Tofauti ni kwamba nimekuletea picha kutoka Parklands, Kileleshwa, South C , South B, Pangani, Eastleigh na Kilimani. Hakuna Westlands, CBD Wala Upper Hill wewe unaniletea ya cbd coz you know nje ya cbd hamna kitu cha kulinganisha na hayo maeneo ya Nairobi.

Na ujue focus ilikuwa kuonyesha buildings za 10-19 floors Nairobi wakati wewe ushatuonyesha tallest buildings in Dar in comparison! 😂
 
Picha gani nimegeuza bongolala. Tofauti ni kwamba nimekuletea picha kutoka Parklands, Kileleshwa, South C , South B, Pangani, Eastleigh na Kilimani. Hakuna Westlands, CBD Wala Upper Hill wewe unaniletea ya cbd coz you know nje ya cbd hamna kitu cha kulinganisha na hayo maeneo ya Nairobi.

Na ujue focus ilikuwa kuonyesha buildings za 10-19 floors Nairobi wakati wewe ushatuonyesha tallest buildings in Dar in comparison! 😂
this was last month

View: https://www.youtube.com/watch?v=f9zBfw2368w&pp=ygUaYnVpbGRpbmcgaW4ga2VueWEgY29sbGFwc2U%3D
 
U

Ume prove tu nilichosema jana. 😆😆😆 majority ya hizo buildings zenye mnajisifu ni kati ya 2 floors -15 floors kama picha zako zinavyojieleza.. same thing we are doing in Tz.

Mlidai kwamba hatujengi magorofa sasahivi kabisa .. nimewaonyesha projects zinazojengwa. Sahii mmebadili mada 😂😂😂 stupid people.
Bongolala, my focus was on those dwarf buildings of less than 20 floors on purpose. Read and understand what I said in that post. I was very categorical hadi nikasema kwamba vyumva vya chini ya 20 floors hatuna hamu nazo tena coz they are almost everywhere in Nairobi.

I said this after majority of you guys started posting buildings za chini ya 20 floors under construction in Dar na kuzisifia to our surprise! We were simply reminding you guys that we already moved on from such dwarf buildings, na kwamba we don't even document them.

After this, mmoja wenu akasema ni visingizio and that's when I started posting such buildings from across Nairobi to remind him that sio visingizio bali ni uhalisia; kwamba we don't get carried away by such buildings like you do coz they are everywhere and we don't even post them here!

That's why you didn't see any pictures of CBD, Upper Hill or even Westlands in my post
 
Bongolala, my focus was on those dwarf buildings of less than 20 floors on purpose. Read and understand what I said in that post. I was very categorical hadi nikasema kwamba vyumva vya chini ya 20 floors hatuna hamu nazo tena coz they are almost everywhere in Nairobi.

I said this after majority of you guys started posting buildings za chini ya 20 floors under construction in Dar na kuzisifia to our surprise! We were simply reminding you guys that we already moved on from such dwarf buildings, na kwamba we don't even document them.

After this, mmoja wenu akasema ni visingizio and that's when I started posting such buildings from across Nairobi to remind him that sio visingizio bali ni uhalisia; kwamba we don't get carried away by such buildings like you do coz they are everywhere and we don't even post them here!

That's why you didn't see any pictures of CBD, Upper Hill or even Westlands in my post
Wewe hujielewi 🚮
 
Back
Top Bottom