Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
kwani hapo Nairobi mnapanda punda?
kwani hapo Nairobi mnapanda punda?
Tungepost sisi ungeanza kusema ghorofa ni fupi, mara halifiki 10 floorsCounty Assembly of Kisumu.
View attachment 3534561View attachment 3534562View attachment 3534563View attachment 3534564
wazungu wa kuchemsha kila wanaposhika pamotokuna kitu amegundua roho inamuwasha kuona viwanja vitatu vya 30,000, 32,000 na 36500 seats capacities vinajengwa!
Wote tunajua viwanja vya Kenya vitakuwa useless baada ya AFCON kuisha ndio maana wanaona wivu kuona Tz tunajenga viwanja maana wanajua sisi viwanja vyetu tutavitumia sanakuna kitu amegundua roho inamuwasha kuona viwanja vitatu vya 30,000, 32,000 na 36500 seats capacities vinajengwa!
mwezi wa kwanza tu baada ya afcon watu wataanza kulia na deni lazima lilipweWote tunajua viwanja vya Kenya vitakuwa useless baada ya AFCON kuisha
View attachment 3534689
kuna watu watalia sku sio nyingi uwanja ukiishaGod, huu uwanja ni mzuri aisee 🔥🔥🙌
View attachment 3534686
but it isnt from a verified sourceI bet that one fella stakehigh will be working overtime all night creeping through online to find alternative responses to this. I bet 2 pages of nonsense coming up…🤣🤣🤣🤣
Kenya wanakopa sana, halafu hela zinaishia kwenye white elephant projects kama Talanta na wanajua ligi yao ni terrible. Hilo listadium libaya likubwa sijui watalitumia kufanyia nini AFCON ikiisha😂😂mwezi wa kwanza tu baada ya afcon watu wataanza kulia na deni lazima lilipwe
si wanaona wakina m7 na tz kujenga vidogo vingi hawana akiliKenya wanakopa sana, halafu hela zinaishia kwenye white elephant projects kama Talanta na wanajua ligi yao ni terrible. Hilo listadium libaya likubwa sijui watalitumia kufanyia nini AFCON ikiisha😂😂
Do you even know what county assembly is?Tungepost sisi ungeanza kusema ghorofa ni fupi, mara halifiki 10 floors
Sasa ona hilo jengo la Kisumu lilivyo fupi, lakini bado ni beautiful. Ndio muelewe for a building to be beautiful it doesn't have to be a skyscraper
why do you think building going up is considered development, thats a way to save spaceDo you even know what county assembly is?
In short ushaiona parliament yenye ni skyscraper?