Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huamini kwasababu umezoea mediocrity huko Kenya. Endeleeni kuwa kwenye denial, sisi tunasonga mbele bila kupiga kelele.

BRT ni serikali ya Mkapa ndiyo walifanya upembuzi yakinifu, SGR ni serikali ya Kikwete, Bwawa la Nyerere ni serikali ya Magu walifanya modification ya ile aliyofanya Nyerere '70s Awamu hii ya Samia juzi wamemaliza upembuzi yakinifu reli ya kusini.

Tanzania inawatu wanavichwa vizuri, tuna matatizo madogo madogo tuu kama ya uchawa ila kwa tuko vizuri kuliko nchi nyingi Afrika.
🤣 🤣 🤣 Yet most part of dar is a slum is unplanned hata heri Kinshasha.

Image
 
Bro, hizi arguments ni za upuzi sana naexpect kutoka kwa watu kama chong chung na sama boy, sii wewe. If you want to know which education is better, nenda kwa border communities uone ni nchi gani inapeleka watoto kwa nyingine ili wapate better education. Jiulize kwa nini watanzania wengi matajiri wanaleta watoto Kenya kusoma and not the other way round.
Watoto wa matajiri wenye akili wanasoma sekondari bongo. Wanaokuja kenya wengi ni wale shule za Tz ziliwashinda. Ni university tuu ndo watanzania huenda nje ya Afrika, tena hii ilikuwa zamani kwasababu baadhi ya course UDSM walikuwa hawatoi, mfano computer engineering. Siku hizi, makozi na vyuo vya kumwaga bongo
 
🤣 🤣 🤣 Yet most part of dar is a slum is unplanned hata heri Kinshasha.

Image
Hili Tatizo halikuwepo miaka ya early 80's kurudi nyuma., lilianza kipindi tulipokubali sera za IMF, viwanda vikafa watu wengi walikosa kazi, including waliokuwa kwenye sekta ya kilimo cha mazao ya biashara.

Watu wakaanza kuja Dar na serikali haikulisimamia tatizo hilo mpaka lilipofikia sasa.

Ila siyo Tz yote, Dodoma kwa.mfano walizuia ujenzi holela, hata mifugo kufugwa hovyo ilizuiwa kwa sera za HADO (hifadhi ardhi Dodoma).
 
Hili Tatizo halikuwepo miaka ya early 80's kirudi nyuma., lilianza kipindi tulipokubali sera za IMF, viwanda vikafa watu wengi walikosa kazi, including waliokuwa kwenye sekta ya kilimo cha mazao ya biashara.

Watu wakaanza kuja Dar na serikali haikulisimamia tatizo hilo mpaka lilipofikia.

Ila siyo Tz yote, Dodoma kwa.mfano walizuia ujenzi holela, hata mifugo kufugwa hovyo ilizuiwa kwa sera za HADO (hifadhi ardhi Dodoma).
Indeed Dom na kwetu Tanga are the only cities in Tz zenye zimepangwa vyema maeneo ya makazi ya watu.
 
Kila kukicha nampinga Samia humu na twitter. Sijawahi kuwa CCM.
Nyie ni watu wa kelele tu. Nchi ina njaa na taifa linakimbizana na changamoto za jiggers.
Kwanini eleimu yenu bora isiweke hizi changamoto sawa?
Umeshonesha chupi yako safi ya CCM. Unajitetea nini sasa. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom