Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Data zenye ziko available are for 2023. Ngoja June ifike nikuonyeshe data za 2024. Next year June ndio utapata data za 2025. Mtaendelea kupika data hadi lini?

Kwa hiyo hauna data ni umeamua tu kupinga hizo data mpya. Za kwako wewe ni za 2023...unataka zipingane na data za 2025
 
Ebu tutajie hao foreigners than own these buildings.

View attachment 3317417

Entire Tanzania is owned by Arabs, they even controlled your politics.


Aya Ebu tutajie top 20 wealthiest people in Tanzania Kama hutaki niamini Forbes, na Ukipata mtanzania hapo unitag.

There is nothing like Tanzanian with Arabic origin. It’s either they are Tanzanians or Arabs and we have all agreed that they are all Arabs.

Mo Dweji si ako pale Simba anaiendesha Kama yake? What about Yule Mhindi wa Yanga? Azam si inamilikiwa na mwarabu?😂😂🤣
Wewe wa kuongea naye ni Godlov Mwakibete tu 🤣 🤣 🤣 🤣 Haya tutajie kijana mwenye pesa kama huyu. Jamaa huyu anajulikana kenya kuliko Ruto

1745745895753.png
 
Hakuna Tz inayoongozwa na foreigners.kunderenda bila wazungu level yenu ni burundi nyie. 🤣🤣🤣
Okay, niletee list ya top 20 wealthiest people in Tanzania. Ukipata mtanzania hapo natoka JF for good. Actually Tamzania bila warabu na wakenya hata Burundi hamfikii.
 
Ebu tutajie hao foreigners than own these buildings.
Triad

This company has a long history in Nairobi's skyline, designing and building numerous skyscrapers, including the Times Tower, Barclays Plaza, and more recent projects like the UAP Old Mutual Tower, Britam Tower, and the Avic Centre.


TMS Consulting Group.

They were behind the construction of the Delta Corner twin towers.
Riayn Developers Group (RDL): They are known for developing the Mirage.
Planning Systems Services architects: They designed the KCB Plaza.
Shamla Fernandes Architects: They worked on the West End Towers.


Hass Petroleum and White Lotus Group: These two entities formed a joint venture to develop the Pinnacle skyscraper.


British-American Investments Company (Britam): They own the Britam Tower.

☝️☝️

Foreign companoes owning Nairobi.
View attachment 3317417

Entire Tanzania is owned by Arabs, they even controlled your politics.
Illusions.
Aya Ebu tutajie top 20 wealthiest people in Tanzania Kama hutaki niamini Forbes, na Ukipata mtanzania hapo unitag.
We are not after such stupid competitions.
There is nothing like Tanzanian with Arabic origin. It’s either they are Tanzanians or Arabs and we have all agreed that they are all Arabs.
They are arabs.

But, they have no families in any arab country, amd they have never been to.
Mo Dweji si ako pale Simba anaiendesha Kama yake? What about Yule Mhindi wa Yanga? Azam si inamilikiwa na mwarabu?😂😂🤣
Huyo anatangaza biashara yake tu, kwenye jezi za Simba.

Muda wowote anatimuliwa.
 
Bongo mambo yetu bhana ni kimya Kimya. Chuma kingine hiki. 👇🏾mdogo govi Njoo uumie huku Teargas 🤣🤣🤣 bongo itakuliza wewe.. hebu leta zile viwanja zenu.Gombani stadium Pemba ZnzView attachment 3317419View attachment 3317420
Tofauti ya hii na Siaya Stadium ni canopy pekee which Siaya Stadiu will have by end of this year. Alafu mbona unatupia kelele because of three decent stadiums in Tanzania? Hii sidhani kama itafikia Homa Bay Stadium once renovation is complete.
 
Cha kushangaza nchi yake ndo inazidi kudidimia. 😂😂😂
Nchi Yao wao wanategemea wazungu ambao kimsingi huko kwao walishafeli. Tena bora wamastuka mapema wameanza kumkimbilia mchina 🤣🤣🤣
Mkumbushe pia kuwa BM stadium sasa ni viti 62,000 😂😂😂
Hili suala linamuumiza kichwa sana. Sio yeye tu pekeake wapo wengi humu. 🤣🤣🤣
 
Mimi nimezurula sana Kenya.

Kwakweli mnatia huruma.

Hali ni mbayaaa.

In short, hakuna mtanzania anaweza kuishi Kenya.

Kenya ni JELA.

Nairobi Kenyans suffer.

Ukitembea huko vijijini, Mombasa (Afghanstan), Lamu, Kilifi 😂😂😂

Kenyans wako HELL.

Poverty to the core
Hakuna Kenya umefika wewe.
Mimi nimezurula sana Kenya.

Kwakweli mnatia huruma.

Hali ni mbayaaa.

In short, hakuna mtanzania anaweza kuishi Kenya.

Kenya ni JELA.

Nairobi Kenyans suffer.

Ukitembea huko vijijini, Mombasa (Afghanstan), Lamu, Kilifi 😂😂😂

Kenyans wako HELL.

Poverty to the core
Usijali siku moja utafanikiwa ufike Kenya uzurure cha ukweli. 😄
 
Nchi Yao wao wanategemea wazungu ambao kimsingi huko kwao walishafeli. Tena bora wamastuka mapema wameanza kumkimbilia mchina 🤣🤣🤣

Hili suala linamuumiza kichwa sana. Sio yeye tu pekeake wapo wengi humu. 🤣🤣🤣
So walijua wakijenga uwanja wa 60k tutalingana! 😂😂😂
 
Tofauti ya hii na Siaya Stadium ni canopy pekee which Siaya Stadiu will have by end of this year. Alafu mbona unatupia kelele because of three decent stadiums in Tanzania? Hii sidhani kama itafikia Homa Bay Stadium once renovation is complete.
I dare you to post the most beautiful stadium in kundurenda tulinganishe na hii Gombani stadium 🤣🤣🤣🤣 let me remind you something the technology put the gombani canopy is the same technology used in the kasarani stadium. 🤣🤣🤣🤣🤣 and basically Gombani stadium is more beautiful than Kasarani.
 
Tofauti ya hii na Siaya Stadium ni canopy pekee which Siaya Stadiu will have by end of this year. Alafu mbona unatupia kelele because of three decent stadiums in Tanzania? Hii sidhani kama itafikia Homa Bay Stadium once renovation is complete.
I dare you to post the most beautiful stadium in kundurenda tulinganishe na hii Gombani stadium 🤣🤣🤣🤣 let me remind you something the technology they use to put the canopy of gombani is the same technology used in the kasarani stadium. 🤣🤣🤣🤣🤣 and basically Gombani stadium is more beautiful than Kasarani.
 
Triad anamiliki gorofa gani Kenya?
TMS Consulting Group.
Na huyu naye anamiliki gorofa gani?
Hass Petroleum and White Lotus Group: These two entities formed a joint venture to develop the Pinnacle skyscraper.
Ebu tuonyeshe penye hiyo Pinnacle Tower iko tuone.
British-American Investments Company (Britam): They own the Britam Tower.
Britam Tower is 77% owned by Kenyans. Foreigners only have 23% stake at Britam Kenya.

1745746443199.png

Illusions
Unataka nikutajie warabu wenye wako in the elected positions in Tanzania?
We are not after such stupid competitions.
Because you arw competing pale chini in the extreme poverty index.
They are arabs.
Thanks for accepting that Tanzania is controlled by Arabs.

Huyo anatangaza biashara yake tu, kwenye jezi za Simba.

Muda wowote anatimuliwa.
Mo Dweji have 49% stake in Simba, most by a singke individual. So technically Simba ni yake juu akiyoa stakes zake hakuna mwenye anamiliki hata 0.5% in Simba.
 
I dare you to post the most beautiful stadium in kundurenda tulinganishe na hii Gombani stadium 🤣🤣🤣🤣 let me remind you something the technology put the gombani canopy is the same technology used in the kasarani stadium. 🤣🤣🤣🤣🤣 and basically Gombani stadium is more beautiful than Kasarani.
Sawa baboon.

IMG_0519.jpeg
 
Kwasasa kiviwanja hapa EA hawatuwezi kabisaa hiyo Afcon tunaouwezo wa kuhost wenyewe

BW Mkapa stadium
Arusha Stadium
Dodoma Stadium
Gombani stadium
Amani stadium
Azam complex stadium.

The best 007 kaka ile ndoto yako ya kuwa na viwanja sita vyenye standards imekamiilika mkuu. Hata wakigoma leo hawa wapumbavu wa kundurenda ku host, sisi tunaeza host pekeetu.
 
Back
Top Bottom