Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwendokasi ni jibu tosha la aina ya serikali tulionayo. They don't care.
Ni chawaa pekee ( mkazi wa Dar es Salaam anayetumia BRT anaweza sema mitano tena)

Wew panda mwendokasi halafu sema "ila hii serikali" Nina uhakika kila abiria atasema yake jinsi ule usafiri ulivyo mateso
Na kibaya zaidi serikali inajibu uongo, itaongeza mabasi mwaka wa pili sasa. Hakuna hata bus moja. Mwezi huu msigwa alisema wataleta mabasi ( wako kimya). Hawataki kuruhusu watu hata binafsi wawekeze.
Sijui ni wakubwa gan hao wa mwendokasi hawaguswi? Wala hawatetereki
Kuna mambo yanaboa sana watu Sio professional wapo tu 🤬😡 ujinga mwingi
 
stop yappin like a housewife 🤣🤣… I challenge you to a duel ya fashion . Mimi na wewe ..Weka picha zako umevaa vizuri tuone … Let’s Go!… lets start with High school all the way to current… tuanze na historia..but for you I will make an exception… since you didn’t attend High School , weka za Primo school..😂😂As they say, put your money where your mouth is!…
Mimi Nikiwa 18 yrs … weka yako ya 18 yrs sasa …
View attachment 3267445
Kama pastor mwanangu 🤣 🤣 🤣 🤣
 
I thought you guys said it’s a ppp project and therefore owned by Chinese, why would the auditor general be involved with a privately constructed stadium?
IMG_2420.jpeg
 
Back
Top Bottom