Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hivi vitu vinahitaji kashule kidogo, mimi sio chawa lakini nakubaliana na ukweli kwamba umeme wa Ethiopia ni nafuu zaidi kuliko kutoka Dar sababu ya uchakavu wa miundombinu, grid ya kutoa umeme Dar ni ya miaka ya 1970s wakati grid ya kutoa umeme Ethiopia ni ya mwaka 2022

Umeme pia unapotea kwenye miundombinu chakavu sawa na maji yanavyopotea kwenye mabomba makuukuu,
images (7).jpeg
 
Hivi vitu vinahitaji kashule kidogo, mimi sio chawa lakini nakubaliana na ukweli kwamba umeme wa Ethiopia ni nafuu zaidi kuliko kutoka Dar sababu ya uchakavu wa miundombinu, grid ya kutoa umeme Dar ni ya miaka ya 1970s wakati grid ya kutoa umeme Ethiopia ni ya mwaka 2022

Umeme pia unapotea kwenye miundombinu chakavu sawa na maji yanavyopotea kwenye mambo makuukuu,View attachment 3265266

View: https://x.com/AnnaTibaijuka/status/1898915019926233134?t=Iw4t0HF6eACwDI6cPyDtVQ&s=19

My Take: Ni upumbavu kuamini kwamba anaekubaliana na hoja za serikali kwamba ni chawa
 
Hivi vitu vinahitaji kashule kidogo, mimi sio chawa lakini nakubaliana na ukweli kwamba umeme wa Ethiopia ni nafuu zaidi kuliko kutoka Dar sababu ya uchakavu wa miundombinu, grid ya kutoa umeme Dar ni ya miaka ya 1970s wakati grid ya kutoa umeme Ethiopia ni ya mwaka 2022

Umeme pia unapotea kwenye miundombinu chakavu sawa na maji yanavyopotea kwenye mabomba makuukuu,View attachment 3265266
Oooohhh tukona ze biggesti hydro dam in Easti Africa. 🤣 🤣 🤣 NairobiWalker aliwaambia shida zenu za umeme hazitasuluhishwa na generation pekee mukamtusi. Sasa ona hamna proper infrastructure ya kufanya transmission. 🤣 🤣 🤣 Bongolala ni bongolala tu.
 
This is a video of Kariakor, unaezadhani kuna vita inaendelea hapa and it has been bombed severally.

Hapa Buildings above 10 floors hazifiki tano na hakuna any building of 20 floors. All the buildings currently under construction are less than 10 floors and those buildings under construction are at most 8.

Alafu utaskia Baboonman akisema sijui Kariakor kuna buildings mingi za 20 floors, Kumbe ni 2 floors.


View: https://youtu.be/Kdqd8ckDB3w?si=u3FnL1TuizgKPKH1
 
Back
Top Bottom