ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,250
Ili deserve hiyo tuzo au mlipeana tu.? Ipo wazi kwamba JKIA inavuja kama mwembe.Is 2024 a past glory? The last award JKIA won was 2024 November. Mabati Rolling mill has never won any in it’s existence.
Na hapo pembeni Kuna reli ya mgr na hapo ni marufuku kujenga chochote chini ya darajaHii ni barabara ya kwenda wapi mzee .? 😂😂😂 👇🏾View attachment 3184466kisa umeona daladala zinakatiza ukadhani ni barabara official.? 😂😂😂
Wananifahamu vizuri humu ndani hawawezi kuthubutu.
Sio tuu amefuta hiyo Bali Serikali ya mama Imefuta zaidi ya tozo 370 kwenye biashara na Huduma mbalimbali.
View: https://www.instagram.com/reel/DDURPH-KlF_/?igsh=MXExM2c0MWR5ZzNsZA==
YeahIla wazuie na makampuni hasa ya production kulazimisha kulipwa kwenye akaunti zao za dollar kwa wale wanaofanya exportation.
Yaan tuzuie kabisa akaunti za dollar kama wenzetu China. Akaunti za usd ziwe kwa ajili ya malipo manunuzi tu tena iwe lazima kununua kupitia benk
Umeongea kama kondoo kumi.Ili deserve hiyo tuzo au mlipeana tu.? Ipo wazi kwamba JKIA inavuja kama mwembe.
Kwani ni uongo kama JKIA inavuja.?You are arguing like a headless sheep.
Yet it won an award for the Africa’s leading airport.Kwani ni uongo kama JKIA inavuja.?
Kama kawaida, huwezi kubali hata picha. Kwa bahati nzuri ni mimi niliyepiga hizo picha, sio za kutoa mtandaoni. Hapo ni Lindi street na Hakuna SGR project unaoendelea hapo. Your lies will not work here, na kama ninadanganya basi niletee picha ya the same street kwa sahii.Wewe kenge,
Picha ya kwanza juu hapo bongo ni kwa mpiga chapa mkuu wa serikali au mitaa ya mkuki house. Hapo mchina anaendelea na ujenzi wa BRT na Mturuki anapitisha tunnel ya SGR cargo. Ujenzi una endelea hapo
Same kwa picha ya Pili iko na daraja la SGR kwa juu hapo ni Kamata area... Ujenzi wa ku link BRT kutoka njia ya Airport kuja Gerezani Kkoo unaendelea... Sasa kupiga picha construction site na kusema ndio uhalisia hapo unazingua.
Zamani tuli amini walimu sio waongo ila kwako mmmh... Ndio maana tunaendelea kutimua tu walimu kutoka kunyaland. Wana uzuzu mwingi sana kichwani.
😂😂 sasa mbona unaniuliza maswali as if I am the one that demarcated that road? Uliza uber driver wangu. We unaona a road under construction hapo? Kwa hivo umekubali hizo roads zenu hazijawai kupata lami alafu unakuja kucheka a road ambayo inekuwa damaged na construction just because iko Nairobi 😂😂 I like this.Sasa mbona unapost Barabara zinazojengwa... Ni Barabara gan hii inapita chini ya SGR Viaduct? Are you sure that is an official road?
Yaana umehangaika we...ukaenda ukapiga picha roads ambazo sio Rasmi. Tangu lini Chini ya SGR kukawa na official road....those cars labda walikuwa wanakwepa construction sites za Uhuru Road inayojengwa BRT na Nyerere road.
Meanwhile Nairobi roads. Hapa hakuna BRT construction and ni official roads
View attachment 3184433
Acha ujinga. Hakuna Barabara rasmi inayopita chini ya SGR Viaduct.😂😂 sasa mbona unaniuliza maswali as if I am the one that demarcated that road? Uliza uber driver wangu. We unaona a road under construction hapo? Kwa hivo umekubali hizo roads zenu hazijawai kupata lami alafu unakuja kucheka a road ambayo inekuwa damaged na construction just because iko Nairobi 😂😂 I like this.
Kama ilikuwa inajengwa basi tuletee update hapa kwa sababu maybe all of a sudden nilipoondoka wakaamua kujenga. Update me.
Among common incentives freely given to all surrogate states of Western Imperialists. That"s why, when people arrive in Kenya get so disappointed.Yet it won an award for the Africa’s leading airport.
Where do these livestock get the audacity to argue with us?Acha ujinga. Hakuna Barabara rasmi inayopita chini ya SGR Viaduct.
Kuhusu Barabara kutokuwa na lami kabisa. Nairobi zipo kibao kabisa tena CBD. Mfano hiz...
View attachment 3184665View attachment 3184666
Too many words, action zero😂😂 sasa mbona unaniuliza maswali as if I am the one that demarcated that road? Uliza uber driver wangu. We unaona a road under construction hapo? Kwa hivo umekubali hizo roads zenu hazijawai kupata lami alafu unakuja kucheka a road ambayo inekuwa damaged na construction just because iko Nairobi 😂😂 I like this.
Kama ilikuwa inajengwa basi tuletee update hapa kwa sababu maybe all of a sudden nilipoondoka wakaamua kujenga. Update me.
Pole sana bongolalaAcha ujinga. Hakuna Barabara rasmi inayopita chini ya SGR Viaduct.
Kuhusu Barabara kutokuwa na lami kabisa. Nairobi zipo kibao kabisa tena CBD. Mfano hiz...
View attachment 3184665View attachment 3184666