Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maisha yako bado kijana ni ya kuunga unga huna uhakika wa kesho yako. Ukipata pesa uje. But now bado sana.
Siwezipewa advise ya maisha na mwenye anatudanganya na picha za mwanaume mwenzake na kuomba lift kwa pastor😂😂🤣😂.

Siku utapata nguvu za kujiamini njoo tuongee😂😂
 
Last month I invested 124k. Can you even dare to spent a 10th of that?😂😂🤣.

Tunajua mwarabu anakulipa 7k kumuzia simu so hata a 40th of what I’m investing monthly you can’t dream of😂😂
😂😂😂 hizo pesa unataja unaishia kuziandika tu.. huna hela. 😂😂 wewe ni maskini wa kutupa, kubali and move on.
 
😂😂😂 hizo pesa unataja unaishia kuziandika tu.. huna hela. 😂😂 wewe ni maskini wa kutupa, kubali and move on.
So naingia kwa website ya CIC na kuziandika? Hata hujielewi😂😂🤣😂.

For your information, siko kwa CIC pekee, i also joined Etica investement and I’m in Saccos pia.
 
So naingia kwa website ya CIC na kuziandika? Hata hujielewi😂😂🤣😂.

For your information, siko kwa CIC pekee, i also joined Etica investement and I’m in Saccos pia.
Huna pesa 😂😂😂🙆🏿‍♂️👇🏾
IMG_2041.jpeg
 
Last month I invested 124k. Can you even dare to spent a 10th of that?😂😂🤣.

Tunajua mwarabu anakulipa 7k kumuzia simu so hata a 40th of what I’m investing monthly you can’t dream of😂😂
Hiyo tunakunywa beer tuu one night na bado nitakaa bar kwa wasiwasi maana hela ndogo sana hiyo kwa matumizi yangu.
 
Probox za 2018 ndio ziko mingi yard saa hii, next year no vehicle older than 2018 will be allowed into the country. Behind the yard green nets are rising very fast.

1728752811307.jpeg
 
Back
Top Bottom