Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nijibu swali langu kwann na mwaka huu hazikuchezwa kenya kwani hakuna viwanja ???😂😂😂😂
CECAFA huwa inakuwa rotated. This year was your year, next year will be Uganda then Rwanda then Burundi. Usidhani ati mlipewa hiyo tournament cause you earned it, no. Ilikuwa tu time yenu to host it😂😂🤣😂
 
Jamaa hata hajui game ilikuwa inachezwa Tanzania 😂😂
Nilidhani kuwa tayari mmeshafuzu kumbe ni mechi moja tu. 🤣 🤣 🤣 🤣
Sisi tunaendelea na mambo mengu sana

1728231850736.png
 
Back
Top Bottom