Boss unajiliwaza tu.., processes are there and were followed, Raila alipoteza kura fare and square, ata kama I voted blue., the lawyers failed to present a water tight case, courts decided na akatii amri,.. nyie je? bado mko porini wacha kujitia hamnazo na fikra zako uchwara, unasukumwa na hisia za wivu, chuki na blind patriotism kwa taifa hovyo la Tanzania..., boss pambaneni na North Korea yenu tukome kabisaaaa.., nawaombea nanyi mfike siku moja na nyinyi muwe na ujasiri ya kusimama kinyume na serikali yenu...,