Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimepost hizo picha hapa mara mingi and from the dashboard of both trains Kenyan ends at 200km/h while za Tanzania ends at 180km/h๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Onesha treni yenu ikifika 160 kwenye dash board ya train ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Treni inafika 100 na red light juu vile wachina wanavojua kucheza na akili zenu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Acha kujitaabisha kutafuta solace kubali yaishe tuu mbona rahisi sana kijana wenzako washakubali mziki ila wewe unaumia sana peke yako.
Huyo mlemavu mafanikio ya Tanzania huwa yanamuuma kuliko kawaida, huwa anaona kama anaumia kuliko wakenya wotee, hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kujitaabisha kushindanisha treni za Kenya na Tanzania? Wenzake wote wanashindwa hata kumpa like ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ

Mm nawaomba ndugu zangu mijadala kuhusu treni tuiache, tuwe tunapost kuonesha uma tulipofika, mlemavu akija na ulinganisho wake tuwe tunacheka tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nimecheka Sana ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
IMG_20240615_093458.jpg
 
Utafikiri katoa hela zake mfukoni kumbe anatoa amri tu. Hata akitoa hela za hazina zitaenda TRc halafu TRC wanapeleka hazina. Unatoa hela mfuko wa kushoto wa suruali unaweka wa kulia.
Wakati Mwendazake anagawa mabulingutu Mitaani mbona mlikuwa hamsemi?

Acheni I unafiki,wivu na chuki za kipuuzi,mama anaendelea pale alipoishia yule mwingine ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
 
Back
Top Bottom