Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo Mpaka mkamwite Zakayo aje kuwasaidia. Made in Tanzania

1715265076328.png


1715265101338.png


1715265118019.png
 
Wakenya ni wachafu sana, haka kaghorofa walijengewa na foreigner lkn wanataka na mazingira ya kuzunguka haka kaghorofa wajengewe na foreigner, haka kaghorofa miaka nenda rudi kanazungukwa na ushuzi, hawawezi kupiga hata picha kamili, utakuta wanapiga picha nusu alafu wanawaongopea wanaijeria kule SSC, sisi huku waliacha kukapost mana tunajua mpaka rangi za chupi zao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2985920
Pabovu sana



IMG_6492.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom