Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa unawekea mtu presha aprove kitu alafu akishaprove unaignore post. Hivi bado unaamini Kibera ina watu 2.5M?
Google inataja million unataka tufanyeje kwani si kazi yako kuprove na data zenu si unaishi huko. Haya Basi congratulations kwa sababu we ni mkazi wa kibera.

Anyway mpaka Slum Tourism inapigwa hapo bila shaka mambo ni meusi sana.
 
Hao ndio wa mwisho kupata lakini hile kelele wako nayo ungedhani ni wao pekee ndio wanaunganisha HOWO trucks. Do you know why it’s called Slayqueen? Because they have assembly plant in almost all countries. Wengine wanawaita “Malaya”😂😂
Nakuona unajitengenezea tusi mwenyewe. Tutalicopy hivyo hivyo next time ukileta ukuda tukishusha chuma kipya.
 
Hao ndio wa mwisho kupata lakini hile kelele wako nayo ungedhani ni wao pekee ndio wanaunganisha HOWO trucks. Do you know why it’s called Slayqueen? Because they have assembly plant in almost all countries. Wengine wanawaita “Malaya”😂😂
Alafu endelea kujifunza Kiswahili. Slay queen ni Sista Duu kwa Kiswahili na sio malaya.

Naona kama inauma sana utadhani sio wewe uliyejimilikisha kampuni nzima ya ISUZU, SCANIA, MARCOPOLO.
 
Na hio sio garage ni ofisi ya kuuza magari Yao wanayo import kutoka china hata hapa walikua nayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kwnn anaongopa, ili iweje sasa? Haya kaongopa alafu kapata faida gn? Mana anaambiwa alete ushahidi anabaki kupaparika kama kuku jike, wenzie wote wamekaa kimya yeye anaona kama kenya kaibeba peke yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakuona unajitengenezea tusi mwenyewe. Tutalicopy hivyo hivyo next time ukileta ukuda tukishusha chuma kipya.
Kenya ziitwa Burukenge, Uganda, Ghana, South Africa and Nigeria wanawaita Slayqueen.
 
NYERERE EXPRESS ipo Tanzanite Station tayari.



View attachment 2986133
Kenya tunayo since 2013👇👇
Screenshot_20231009-105954~2.png

Tanzania always ipo behind Kenya 20yrs👇👇
1697280419918.jpg
 
Ngoja tukuongezee na nyingine. Tanzania we are serious. Whether you like it or not

View attachment 2986137

View attachment 2986138






View: https://www.instagram.com/reel/CnrsRaPjx4q/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Made in Tanzania by Tanzanians for the people of East, West and central Africa.
 
Sasa kwnn anaongopa, ili iweje sasa? Haya kaongopa alafu kapata faida gn? Mana anaambiwa alete ushahidi anabaki kupaparika kama kuku jike, wenzie wote wamekaa kimya yeye anaona kama kenya kaibeba peke yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Najua inawauma ati Tz is not the only HOWO assemblers in East Africa. To add salt to the wound, Tanzania is the late comer to party after Kenya, Uganda and Rwanda.
 
Back
Top Bottom